Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Wamekusikia.
Weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamekusikia.
Wana wivu haoooooooo
Le King of Awards
Kama kweli umemaliza MASTERS HONGERA.
HAYA NA WEWE MPONGEZE DIAMOND.
Yes, nime graduate juzi cuzoo
Hongera zake, maana kuna watu wametumia pesa nyingi sana kuwa maarufu na kujaribu kufahamika dunia nzima, ila hawakuweza hata kufika robo ya stage aliyofikia ndomo, kuna watu wamezaliwa ULAYA na kukulia uko, tena wamesoma kabisa shule za muziki za bei mbaya na wanaweza kutumia vyombo vyote vya muziki na kuimba kama chris brown au Neyo, ila hawakuweza kufika hata robo ya stage aliyofikia ndomo.
Wakati wakina papa Nyangumi na papaa pumb* wakiteketeza ma million ya shilingi kutafuta umaarufu ambao mpaka kesho wameishia kufahamika Meeda bar na rose garden, mtoto wa watu tena kutoka Tandale ameweza kuiteka Africa nzima na kuiweka kiganjani mwake, Sio kwa ajili ya pesa nyingi kama bakhresa , ila ni kipaji tu kimemtoa kwenye herufi Z to B
Wakiondoka ukumbini
Kila mtu na yakeeee....waachaa weeee.....
Yes, nime graduate juzi cuzoo
Hongera zake, maana kuna watu wametumia pesa nyingi sana kuwa maarufu na kujaribu kufahamika dunia nzima, ila hawakuweza hata kufika robo ya stage aliyofikia ndomo, kuna watu wamezaliwa ULAYA na kukulia uko, tena wamesoma kabisa shule za muziki za bei mbaya na wanaweza kutumia vyombo vyote vya muziki na kuimba kama chris brown au Neyo, ila hawakuweza kufika hata robo ya stage aliyofikia ndomo.
Wakati wakina papa Nyangumi na papaa pumb* wakiteketeza ma million ya shilingi kutafuta umaarufu ambao mpaka kesho wameishia kufahamika Meeda bar na rose garden, mtoto wa watu tena kutoka Tandale ameweza kuiteka Africa nzima na kuiweka kiganjani mwake, Sio kwa ajili ya pesa nyingi kama bakhresa , ila ni kipaji tu kimemtoa kwenye herufi Z to B
Hii picha imekaribia kunitoa chozi.....anampenda mama yake ...Bi Mkubwa sijui kama aliwahi kuwaza ataenda South Siku moja....Sasa ameenda as a star...Camera zote kwao.....Mashallah hakuna kama mama....
Mashabiki wa ndomo ni waswahili kama boss wao, sasa mtu unaanzaje kulamba ndimu kwa mfano? What for? Yani mmekaa kishakunaku kama pindiru vile apo ndomo hata uwepo wenu haujui, angekuwa anawafahamu pangetosha, ebu tutoleeni upuuzi wenu.
By the way nilikuwa busy na graduu, namshukur mungu kwa apa nilipofikia, maana kumaliza masters sio mchezo wa ngololo au kitorondo, wala sio tuzo za kilimanjaro music awards useme had akina mpoki na mpoto wanapewa, im great kwa kweli. Hii kwangu ni Tuzo tosha zaidi hata ya BET, habare ndo hyo.
Acha tu yaani nashindwa hata kuelewa how happy her mom is....
Yes, nime graduate juzi cuzoo
Hongera zake, maana kuna watu wametumia pesa nyingi sana kuwa maarufu na kujaribu kufahamika dunia nzima, ila hawakuweza hata kufika robo ya stage aliyofikia ndomo, kuna watu wamezaliwa ULAYA na kukulia uko, tena wamesoma kabisa shule za muziki za bei mbaya na wanaweza kutumia vyombo vyote vya muziki na kuimba kama chris brown au Neyo, ila hawakuweza kufika hata robo ya stage aliyofikia ndomo.
Wakati wakina papa Nyangumi na papaa pumb* wakiteketeza ma million ya shilingi kutafuta umaarufu ambao mpaka kesho wameishia kufahamika Meeda bar na rose garden, mtoto wa watu tena kutoka Tandale ameweza kuiteka Africa nzima na kuiweka kiganjani mwake, Sio kwa ajili ya pesa nyingi kama bakhresa , ila ni kipaji tu kimemtoa kwenye herufi Z to B
alvyokosa za mtv base na bet ilkuwa mnashangilia hapa mara oooh alipo davido daimond hakai yaan maneno kbao now kashinda oh za kawaida mara bla bla bla.yaan dangote anawasumbua kweli