Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

i was illiterate kwa warumi ni expensive kwenye hili jukwaa ooopppssss eti service ni kweli haya ayasemayo huyu mtu? mtvbase ume sikia maneno haya?

Baada ya kutoka hapa amekimbia kwenda kuanzisha uzi Wa diamond na wema it is amazingly jamaa anafanya kazi fulani indirect wakati anaikataa direct.....this is more than controversial
 
Last edited by a moderator:
Only stupidity wanaamini maneno ya warumi huyu jamaa ni mtu wa misifa atuache na thread.yetu kama imedonda nini kimemleta huko!!!!!

alaah kumbe jamaa ni me!?? ha ha ha ha
 
frankly speaking mi nilikua najua warumi ni mdada kumbe ni wa kiume? ha ha ha.

Hahahahahah mkuu hata mimi.jamaa.kama.mwanamke vile eti linajisifia kuwa umbeya rahaaa do ukistaajabu ya musa utaona ya warumi.....
 
Last edited by a moderator:
Hahahahahah mkuu hata mimi.jamaa.kama.mwanamke vile eti linajisifia kuwa umbeya rahaaa do ukistaajabu ya musa utaona ya warumi.....

daah Mungu kaumba wana damu kiupekee sana aisee.
 

Attachments

  • 1415900142394.jpg
    1415900142394.jpg
    72.4 KB · Views: 336
Back
Top Bottom