Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
BestOfMyKind:thankx my friend......but kuwa sahihi Bongo flavour sio genre ya muziki bali ni aina ya muziki unaopatikana Tz unacontain genres tofauti tofauti..........kama raggae ragga......hiphop na rap......dance rumba.......zouk rumba.......etc. But na kwa upande mwingine swahiba......me nadhani kuimba style tofauti ni nzuri in tha short-run but in the long-run inakuwa kama inazingua fulani linapokuja swala la identity.........maana hata wasanii hata wasanii wa kisasa huko mbele inawakuta hiyo inshu........umaarufu wa muda mfupi kisha kupotea........but ambaye anakaza style moja anakuwa fresh kufanya Muziki-biashara........give me your comment hommy.
Last edited by a moderator:
