Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Hiiii picha made my day.
 

Attachments

  • 1435505624433.jpg
    1435505624433.jpg
    28.2 KB · Views: 138
lala salama..
matatizo chuki lawama..
matatizo chuki lawama..
ukilala lala salama
kumbatia picha yangu
kama ukinikumbuka sana
nipigie simu yangu
uki..ukilala lala salama
kumbatia picha yangu
matatizo chuki lawama
vumilia mpenzi wangu
najua wivu ndo mapenzi
ila chunga usizidi
si unajua kwako sijiwezi
ila dhiki imebidi
mi nili.tamani si mi kuwa nawe
tuwe wote usiku na mchana
kilichofanya mi nipagawe
sina chochote cha kuwalisha wana
niliupokea kwa unyonge.. msiba wa kaka bona
ile barua yako ya mwisho.. ilinitonesha vidonda
usijali, Nilai kipenzi changu, ukazani
nimekumbwa.. na pepo la starehe
mambo bado magumu kwangu, afadhali hata ya
jana ya kesho niombee
ukilala lala salama
kumbatia picha yangu
kama ukinikumbuka sana
nipigie simu yangu
uki..ukilala lala salama
kumbatia picha yangu
matatizo chuki lawama
vumilia mpenzi wangu
ile kua uone
nilidhani maghorofa
ai, akumbe mwana ukome
hakuna cha kuokota
mi bado, nakaza moyo changu kipenzi
ila naumia kwa kuwa mwenyewe
natamani ila siwezi, nazitafuta ili nije kula na
wewe
msalimu mama nyumbani, usiseme kama
nahenya
tai, mfiche mpe imani, karibu ntakuwa chema
usijali, Nilai kipenzi changu, ukazani
nimekumbwa.. na pepo la starehe
mambo bado magumu kwangu, afadhali hata ya
jana ya kesho niombee
ukilala lala salama
kumbatia picha yangu
kama ukinikumbuka sana
nipigie simu yangu
uki..ukilala lala salama
kumbatia picha yangu
matatizo chuki lawama
vumilia mpenzi wangu
 
Huu uzi uwe maalum kwa watu wote wenye mapenzi mema na wanaomtakia mafanikio kimuziki na kimaisha kijana Naseeb Abdul "Chibu Dangote".

Wenye kutaka kumshauri na kumtia moyo kijana aendelee kupaa na kuiwakilisha Tanzania kimuziki basi mnakaribishwa hapa mje mtoe maoni yenu kwa management na team Diamond kwa ujumla wapi wanakosea wapi waongeze juhudi wapi wajirekebishe ili kijana aendelee kua "the baddest musician" in Tanzania na East Africa kwa ujumla.

Kukosoa pia ni ruksa kwani no body is perfect.

Wale jirani wenye chuki,wivu na roho mbaya kwa vijana wenzao wanao onyesha mafanikio pia wana karibishwa humu ndani kutoa changamoto,kukejeri,kudharau na kutukana pia mnaruhusiwa kama mna akili timamu.


Karibuni sana wadau.
attachment.php



======================

Updates

Msanii diamond kachagulia kwenye kinyang'nyiro cha tuzo wa Mtv African Music Awards (MAMA2015) kwenye category tatu ambazo ni

1.Best Male
2.Best Live
3.Best collaboration

Jinsi ya kupiga kura click MAMA 2015

unacho takiwa kufanya ni

◆ kuclick sign up then utapewa optin ya kuingiza facebook akaunti yako,email address au akaunti yako ya tweeter. baada ya hapo utakuwa ume jisajiri kupiga kura.

◆ chagua category tajwa hapo juu,utakutana na picha,jina la msanii na nchi anayotoka click neno 'vote' utaletewa ujumbe kua umesha mpigia kura msanii wako diamond

◆note:kwenye huo ujumbe kwa juu kuna alama ya x,bofya alama hiyo ili kuweza kurudia tena kumpigia kura msanii wako.

◆Pia usisahau kunpigia kura msanii wa kike Vannesa Mdee ambae yeye yupo kwenye category ya "Best female".

◆pia waweza kuwapigia kura Sauti sol kutoka kenya wao wapo kwenye category ya "best group".

◆Unaweza kupiga kura mara ishirini kwa siku.(tumia app ya google chrome au browser,kwa sasa opera mini inasumbua)

Tanzania ikisema "Yes" nani wa kupinga..???

DIAMOND FOR TANZANIA.


Kwa maelezo zaidiBonyeza hapa MAMA 2015

Nikipiga kura naletewa huo ujumbe Wa thanks for voting lakini nikitaka huo ujumbe utoke niendelee na category nyingine nakosa option ya kuutoa huo ujumbe zaidi ya hiyo X ambayo unasema nikiibonyesha narudia kupiga kura ..nipe ufafanuzi ndugu
 
kanali mstaafu

bonyeza kwene X apo kukata na kisha vote tena haina kikomo iyo kama utakuwa umejiunga kwa email
 
Last edited by a moderator:
lala salama..
matatizo chuki lawama..
matatizo chuki lawama..
ukilala lala salama
kumbatia picha yangu
kama ukinikumbuka sana
nipigie simu yangu
uki..ukilala lala salama
kumbatia picha yangu
matatizo chuki lawama
vumilia mpenzi wangu
najua wivu ndo mapenzi
ila chunga usizidi
si unajua kwako sijiwezi
ila dhiki imebidi
mi nili.tamani si mi kuwa nawe
tuwe wote usiku na mchana
kilichofanya mi nipagawe
sina chochote cha kuwalisha wana
niliupokea kwa unyonge.. msiba wa kaka bona
ile barua yako ya mwisho.. ilinitonesha vidonda
usijali, Nilai kipenzi changu, ukazani
nimekumbwa.. na pepo la starehe
mambo bado magumu kwangu, afadhali hata ya
jana ya kesho niombee
ukilala lala salama
kumbatia picha yangu
kama ukinikumbuka sana
nipigie simu yangu
uki..ukilala lala salama
kumbatia picha yangu
matatizo chuki lawama
vumilia mpenzi wangu
ile kua uone
nilidhani maghorofa
ai, akumbe mwana ukome
hakuna cha kuokota
mi bado, nakaza moyo changu kipenzi
ila naumia kwa kuwa mwenyewe
natamani ila siwezi, nazitafuta ili nije kula na
wewe
msalimu mama nyumbani, usiseme kama
nahenya
tai, mfiche mpe imani, karibu ntakuwa chema
usijali, Nilai kipenzi changu, ukazani
nimekumbwa.. na pepo la starehe
mambo bado magumu kwangu, afadhali hata ya
jana ya kesho niombee
ukilala lala salama
kumbatia picha yangu
kama ukinikumbuka sana
nipigie simu yangu
uki..ukilala lala salama
kumbatia picha yangu
matatizo chuki lawama
vumilia mpenzi wangu

ahahahahaha!!umetisha meeen!
 
Another Great News from @YFm South Africa... Your
favorite Song #NaNa is No.1 on # AfficialTop5Countdown
# AfricaBoomBoxx ..
(Habari nyingine Nzuri toka Radio @Yfm South Africa ni
kuwa Nyimbo yako pendwa #NaNa iko nafasi ya kwanza
katika Nyimbo Tano Bora Africa....) Bonyeza link juu ya
BIO yangu kuona idadi ya watu walio itazama hapa
https://youtu.be/IflpfcHmq5I
 
Back
Top Bottom