Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

Matusi so maungwqna, chukizo kwa maulana.
Mwaitafuta laana, toka kwake ye rabana.
Itawagharimu sana, I tena bila maana.
Majirani tupendane, rai apewe mfalme.

Ukimtusi modereta , na kwa bani utatota.
Wala pole hutopata,masaibu kukukuta.
Na pia utajuta, wako ujinga kufuta.
Majirani tupendane, rai apewe mfalme.

Jukwaa la burudani, wala sio tafrani.
Hivi kwa sababu gani, taraghani kushamiri.
Acheni uhayawani, na matusi sio fani.
Majirani tupendane, rai apewe mfalme.

Mazigazi muungwana, na sio mjuaji sana .
Mpenda kuafikiana, kwa jambo lenye maana.
Mondi mutoto mubaya, na pia hanaga haya.
Majirani tupendane, rai apewe mfalme.
 
Matusi so maungwqna, chukizo kwa maulana.
Mwaitafuta laana, toka kwake ye rabana.
Itawagharimu sana, I tena bila maana.
Majirani tupendane, rai apewe mfalme.

Ukimtusi modereta , na kwa bani utatota.
Wala pole hutopata,masaibu kukukuta.
Na pia utajuta, wako ujinga kufuta.
Majirani tupendane, rai apewe mfalme.

Jukwaa la burudani, wala sio tafrani.
Hivi kwa sababu gani, taraghani kushamiri.
Majirani tupendane, rai apewe mfalme.

Mazigazi muungwana, na sio mjuaji sana .
Mpenda kuafikiana, kwa jambo lenye maana.
Majirani tupendane, rai apewe mfalme.

Asanteeeer Mazigazi
 
Last edited by a moderator:
Matusi so maungwqna, chukizo kwa maulana.
Mwaitafuta laana, toka kwake ye rabana.
Itawagharimu sana, I tena bila maana.
Majirani tupendane, rai apewe mfalme.

Ukimtusi modereta , na kwa bani utatota.
Wala pole hutopata,masaibu kukukuta.
Na pia utajuta, wako ujinga kufuta.
Majirani tupendane, rai apewe mfalme.

Jukwaa la burudani, wala sio tafrani.
Hivi kwa sababu gani, taraghani kushamiri.
Majirani tupendane, rai apewe mfalme.

Mazigazi muungwana, na sio mjuaji sana .
Mpenda kuafikiana, kwa jambo lenye maana.
Mondi mutoto mubaya, na pia hanaga haya.
Majirani tupendane, rai apewe mfalme.

Mkuu....vip naww kumbe ni mtunz mzur hiv....ile tuzo ya ktma ilikuwa inakuhusu hiv 😀😀😀
 
Matusi so maungwqna, chukizo kwa maulana.
Mwaitafuta laana, toka kwake ye rabana.
Itawagharimu sana, I tena bila maana.
Majirani tupendane, rai apewe mfalme.

Ukimtusi modereta , na kwa bani utatota.
Wala pole hutopata,masaibu kukukuta.
Na pia utajuta, wako ujinga kufuta.
Majirani tupendane, rai apewe mfalme.

Jukwaa la burudani, wala sio tafrani.
Hivi kwa sababu gani, taraghani kushamiri.
Majirani tupendane, rai apewe mfalme.

Mazigazi muungwana, na sio mjuaji sana .
Mpenda kuafikiana, kwa jambo lenye maana.
Mondi mutoto mubaya, na pia hanaga haya.
Majirani tupendane, rai apewe mfalme.

ahahahahaha we mtu nimekuvulia kofia khaaaa!!!sio kwa mashairi haya!!looh utadhani malenga wapya?
 
Matusi so maungwqna, chukizo kwa maulana.
Mwaitafuta laana, toka kwake ye rabana.
Itawagharimu sana, I tena bila maana.
Majirani tupendane, rai apewe mfalme.

Ukimtusi modereta , na kwa bani utatota.
Wala pole hutopata,masaibu kukukuta.
Na pia utajuta, wako ujinga kufuta.
Majirani tupendane, rai apewe mfalme.

Jukwaa la burudani, wala sio tafrani.
Hivi kwa sababu gani, taraghani kushamiri.
Majirani tupendane, rai apewe mfalme.

Mazigazi muungwana, na sio mjuaji sana .
Mpenda kuafikiana, kwa jambo lenye maana.
Mondi mutoto mubaya, na pia hanaga haya.
Majirani tupendane, rai apewe mfalme.

+Mondi mutoto mubaya, na pia hanaga haya.

+Majirani tupendane, rai apewe mfalme!

Hongera Mkuu kwa mashairi matamu
 
Diamond katisha sana uko instagram yaani asubuhi alikuwa na followers 809k imefika mchana ana followers 830k, yaani ndani ya masaa 4 kapata followes 20k, hadi mwenyewe anashangaa hawa watu wametoka wapi ghafla ivyo.

Ana ashki majinuni
 
Muziki unalipa manake kuna huduma kibao mtu unagonga free! Wakati wengine wanasubiri mwisho wa mwezi wapate mshahara ili wahonge pamoja na madgrii yao wengine na ka-form iv kabovu tu lakini unatangaziwa tunda hadharani... hii dunia haina haki kabisa!

Halafu nikipiga mahesabu, naona ,mnh! Chibu ana mtihani sana kwa mama kijacho! Manake kwa Wema, ukimpelekea BMW used ya $ 20K tu ingemkenusha meno na kusahau machungu ya uzazi (dongo hili liwafikie Heaven on Earth na Mrembo by Nature popote pale walipo) sasa mtu kama Zari unampa nini yaani?!

my dear uliniita toka july 5...sorry niko busy na uchaguzi huku hadi week end kama hivi. Back to the theme: kulipa na kutolipa ni subjective. it all depend on how you define each varriable and how u operationalize (measure) them.
 
Jamani kwemaaa!!!!naonablowassa amevuruga utaratibu kabisa leo
 
Back
Top Bottom