Tetesi: Diamond Platinumz na Mhariri Mkuu wa Wasafi huenda wakaitwa mbele ya TCRA au kizimbani kwa kukiuka sheria ya takwimu

Tetesi: Diamond Platinumz na Mhariri Mkuu wa Wasafi huenda wakaitwa mbele ya TCRA au kizimbani kwa kukiuka sheria ya takwimu

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Wasalaam wana jamvi!

Msanii Diamond Platinumz na muhariri mkuu wa wasafi media uenda wakaingia matatani kwa kudaiwa kukiuka sheria ya takwimu na ile sheria ya habari zinazo kataza chombo cha habari kutoa takwimu bila kuwa na kibali au kuonesha chanzo cha takwimu hizo!

Hata hivyo sheria inataka chombo au mtu anayetaka kutoa au kutangaza takwimu alizozifanya au kuzichakata kuzipeleka ofisi ya taifa ya takwimu ili zithibitishwe au kuidhinishwa uhalisia wake kabla ya kwenda kwa wanachi!

Hata hivyo sheria inzitaka Kampuni au mashirika yanayotaka kukusanya takwimu kuwa na kibali cha kufanya hivyo! Kinyume na hapo ni kosa kisheria

Hata hivyo hayo yamejiri baada ya Wasafi media na Mmiliki wake kujitangaza kuwa wao ni radio namba moja nchini bila kueleza chanzo cha takwimu hizo na chombo kilicho fanya utafiti huo

Sheria ya takwimu na ile ya habari inazuia utoaji holela wa takwimu ili kulinda jamii na pia kulinda misingi ya biashara na kuepuka utoaji wa takwimu za uongo!

Ikumbukwe Wasafi Fm imeanzishwa miaka miwili tuu na inasikika Dare-es-salaam

Wasalaam
IMG_0546.png

IMG_0545.png

IMG_0544.png
 
Hizo lugha za kibiashara Pepsi leo anaweza akasema yy number moja,Coca nae vile vile alafu mbona kuna watangazaji kibao wakiwa wanatangaza wanajigamba redio yao number 1 au kipindi chao number moja kwa kusikilizwa basi kujimwambafy na sijawahi kuona wakichukuliwa sheria.

Hata hawa watu wanao kusanya Data huwaga sample ya kujua redio ipi inasikilizwa hupata kwa kuwapigia baadhi ya watu simu na kuwauliza maswali radio wanazisikiliza sana na hawana connection na TCRA labda kiengo cha Takwimu za TZ.

Au labda unaweza kutusaidia kufungu cha sheria kinachoibana Wasafi au Document kutoka TCRA manake hata TBC huwa kwenye baadhi ya vipindi vyao wanasema wao ndio number moja lkn ukweli unafahamika tu wanajimwambafy na kujifurahisha.
 
Hizo lugha za kibiashara Pepsi leo anaweza akasema yy number moja,Coca nae vile vile alafu mbona kuna watangazaji kibao wakiwa wanatangaza wanajigamba redio yao number 1 au kipindi chao number moja kwa kusikilizwa basi kujimwambafy na sijawahi kuona wakichukuliwa sheria.

Hata hawa watu wanao kusanya Data huwaga sample ya kujua redio ipi inasikilizwa hupata kwa kuwapigia baadhi ya watu simu na kuwauliza maswali radio wanazisikiliza sana na hawana connection na TCRA labda kiengo cha Takwimu za TZ.

Au labda unaweza kutusaidia kufungu cha sheria kinachoibana Wasafi au Document kutoka TCRA manake hata TBC huwa kwenye baadhi ya vipindi vyao wanasema wao ndio number moja lkn ukweli unafahamika tu wanajimwambafy na kujifurahisha.
Tusubiri TCRA watatoa maelezo kwa kina.
 
Kwaiyo Vodacom walivyokua wanasema The leading cellular network waliitwa TCRA? Kasome adds vizur mkuu..kwenye matangazo kuna hadi intended mistakes utakuja kushangaa nakuona watu hawajui kumbe ww ndio hujui[emoji3]
 
Ingekuwa ya mtu wa CHADEMA ingefungiwa kwanza mwaka mmoja alafu ndio waitwe,
 
Kwaiyo Vodacom walivyokua wanasema The leading cellular network waliitwa TCRA? Kasome adds vizur mkuu..kwenye matangazo kuna hadi intended mistakes utakuja kushangaa nakuona watu hawajui kumbe ww ndio hujui[emoji3]


Hizo Telecom company zote zinapewa takwimu na TCRA hawawezi kuamka tu na kusema we are the leading cellular network

Fimbo za TCRA wanazijua , ukiona wameweka kitu hewani ni data za TCRA
 
Hizo Telecom company zote zinapewa takwimu na TCRA hawawezi kuamka tu na kusema we are the leading cellular network

Fimbo za TCRA wanazijua , ukiona wameweka kitu hewani ni data za TCRA
Hapana ile ni lugha ya Ads tu mkuu...

Kasome features za advertisement mkuu utakuja hapa kuunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom