Apiaah!!
umepanic hadi umejikuta umejibu kwa kutumia ID ambayo haujaitumia kufungulia thread 🤣 🤣 🤣Diamond hivi akimla dada yako pande zote square alafu akamtelekeza..? [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Inauma ila itabidi uzoee
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]et taasisi wabongo bwanaSasa Kiba unamfaninishaje na Chibu.
Chibu ni taasisi ya kimataifa.
Kiba ni muimbaji wa Tanzania kipenzi cha watu wa Mombasa tu.
Sio kweli...hivi Diamond ana muziki mzuri kushinda Kiba?(I stand to be corrected)maana Dodoma nilimuona mama Samia akivunja protocols kwenda kumtunza Kibanikutokana na mapokezi yake makubwa kigoma, ambapo alikiba mzee awezi fikia.
Maana alikiba wameudhuria watu hata 100 hawajafika, huku diamond walikuwa zaidi ya 10000,na kuandika historia kubwa.
Kwahiyi Kama wanajamvi kwenye jukwaa la celebrities tumeamua kwa moyo mmoja kumpitisha DIAMOND kuwa the GOAT.
Sina timu ila ni fan wa mziki mzuri,na atkae ongea fyongo anakula block na ban juu.
Povu kafukie sabuni
Mbona hata ZUCHU queen of bongo fleva[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio kweli...hivi Diamond ana muziki mzuri kushinda Kiba?(I stand to be corrected)maana Dodoma nilimuona mama Samia akivunja protocols kwenda kumtunza Kiba
Ok dada squareSawa dada tumekuelewa
KafuliaKiba naee..'!!
Kalaleumepanic hadi umejikuta umejibu kwa kutumia ID ambayo haujaitumia kufungulia thread [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Kafulia huoMzee Hili sio jukwaa la matusi kwani hamuwezi kutoa hoja bila matusi?
Asante sanaUmetisha
Huu msemo wa Usinifokee mmeutoa wapi nyie watoto?Diamond mbuzi!!
Usinifokee
🤣🤣🤣🤣🤣Huu msemo wa Usinifokee mmeutoa wapi nyie watoto?
Maana kila nipitapo caption lazima imaliziwe na "msinifokee"
Tunaambiwaga wanaume mama yetu mmoja ila namimi nasema
wanawke mwalimu wao n mmoja walahi vile haiwezekani hii kitu ikasambaa hv.
Sina timu ila ni fan wa mziki mzuri,na atkae ongea fyongo anakula block na ban juu.
Povu kafukie sabuni
LADYLUV Kwa akili yako ya kawaida tu unaamini Kiba ana mashabiki wengi kuliko diamond?tofauti nyingine alikiba alienda alfajiri watu bado wamelala na diamond alifika mchana watu wapo wengi ,mapovu ruksa jumamosi nataka kufua nguo
Amka wee,jenga hoja zenye kujenga na ushaidi!Hivi Alikiba alimla dada yako pande zote alafu akamtelekeza?