Diamond Platinumz ziara yake alipokuwa Kenya ilikuwa ya mafanikio. Shoo aliyoipiga ya Safaricom siku ya Ijumaa ilikuwa kubwa na baadhi ya picha kutoka tukio hilo ndizo hizi hapa...amepagawisha!!
Alafu wazushi watakuja na hoja za SEMBE......badala wadili na kina Masogange wasioeleweka, wanang'ang'ania wanaojishughulisha na kuingiza mkwanjwa kwa kujituma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.