Hivi ushauri wa mashoga huwa una maana yoyote kwenye jamii?
wakuu domo haifai alikiba hatamfikia kamwe atasubiri sana tatizo wivu umawaponza watu
Leo Diamond anachukua tuzo za AFRIMA na hii trend ya kumsifia alikiba itaisha tu.....All in all kiba amejitahidi sana kwenye hii hit song yake ya mwana.But again management ni ishu, kwa song kama hili angetoa video kabisa, kukaribisha wadau waizindue ili publicity hii increase.People watch more tv than listening to radios, akitoa video MTV au hata channel O watamsikia.Last tym I checked on 2012 mpaka 2013 mwanzoni, MSINISEME by Alikiba was the only song with 1 million hits in EA.
Zama za Alikiba zimeshapita, now anatunga nyimbo za kitoto km Mr. Nice, diamond mwenzie yuko Marekani. Ali, kubali tu huna jipya.
Ndio ushangae sasa,eti leo kawa best vocalist.... wanamjua Chilla awa? wanamjua Bushoke? wanamjua Nurueli? wanamjua rama dee?...ingekuwa vocal ndio kila kitu nafasi ya Wacko jacko angekaa Prince, wajiulize kwa nini Michael alikuwa juu.....Au nafasi ya Boni Jovi angekaa mtu kama uncle Charlie Wilson....U-Star ni package !!!
Samahani mkuu natumia opera lakini
tafadhali pokea LIKE yangu.
Leo Diamond anachukua tuzo za AFRIMA na hii trend ya kumsifia alikiba itaisha tu.....All in all kiba amejitahidi sana kwenye hii hit song yake ya mwana.But again management ni ishu, kwa song kama hili angetoa video kabisa, kukaribisha wadau waizindue ili publicity hii increase.People watch more tv than listening to radios, akitoa video MTV au hata channel O watamsikia.Last tym I checked on 2012 mpaka 2013 mwanzoni, MSINISEME by Alikiba was the only song with 1 million hits in EA.
mwanaume kutamka #sheeder duh
namshangaa anakuja PM kuanza kuporomosha matusi....
alietumwa na alietuma wote vilaza
Vipi hiyo tuzo kachukua?tuanzie hapo.....
Ndio kachukua