Diamond Platinumz vs Ali Kiba, nani mkali?

Diamond Platinumz vs Ali Kiba, nani mkali?

Ali Kiba kwangu atabaki ndio msanii ananivutia uimbaji wake
Lakini linapokuja swala la nani yupo juu kwa sasa basi siwezi kuidanganya nafsi yangu Diamond yupo juu sana tu

Tatizo ali kiba anajua kuimba lakini hajui kufanya muziki
Diamond hamfikii.alikiba kuimba lakini anajua kufanya muziki

Siri ya muziki ni pindi ukiwa juu hakikisha unashikilia hapo hapo, ni mwendo wa pini juu ya pini plus matangazo na mbwembwe za kufa mtu, yaani unahakikisha unawashika akili wapenzi.wako
Mbwembwe za.kufanya sijui video kwa mamilioni peke yake inakufanya kutaka kuiona hata kama huipendi
Kufanya kolabo na akina davido si mchezo

Kiba aliichezea nafasi alikaa na akina R Kelly. na mastaa kibao lakini aliporudi akapiga kolaba kadha akaanza kula nchi hivi sasa ni kama anatafuta kutoka sas

kusema kweli nimesikia nyimbo zake mbili ni nzuri lakini simuoni ali kiba ninaye mjua mimi ukilinganisha na diamond na ommy dimpoz na mavoko
inabidi ajipange aisee
 
Napenda sauti ya alikiba...lakini diamond is the best forever
 
Hivi hii nyimbo ya domo sjui kitorondo huu ni upuuzi gani...hahahaha yan huyu jamaa promo za ruge na udaku wa global ndio wamueka mjini pia amshukuru Madame Wema aiseee #TeamKinaForReal since day Uno....king ndio kasharudi domo kasanda trust me
 
very good observation!kiuimbaji wote wa kawaida sana...matumizi ya lugha kidogo Domo ana uwasilishaji mzuri kuliko Ally K,Stage performance Domo ni kama BUGGATTI na Ally K kama Vitz!!......ki biashara ya muziki....Ally yuko miaka mia nane nyuma!
nikishabikia muziki tu kama muziki.wote hawawezi nishika nikawa shabiki wao,ila kwa mambo mengine kama niliyorodhesha hapo plus investment na bidii.Aly k anasubiri sana kwa domo!mashabiki wa Kiba mtandaoni wanamdanganya sana,he is not that big n good!

Well said indeed
 
Ali Kiba kwangu atabaki ndio msanii ananivutia uimbaji wake
Lakini linapokuja swala la nani yupo juu kwa sasa basi siwezi kuidanganya nafsi yangu Diamond yupo juu sana tu

Tatizo ali kiba anajua kuimba lakini hajui kufanya muziki
Diamond hamfikii.alikiba kuimba lakini anajua kufanya muziki

Siri ya muziki ni pindi ukiwa juu hakikisha unashikilia hapo hapo, ni mwendo wa pini juu ya pini plus matangazo na mbwembwe za kufa mtu, yaani unahakikisha unawashika akili wapenzi.wako
Mbwembwe za.kufanya sijui video kwa mamilioni peke yake inakufanya kutaka kuiona hata kama huipendi
Kufanya kolabo na akina davido si mchezo

Kiba aliichezea nafasi alikaa na akina R Kelly. na mastaa kibao lakini aliporudi akapiga kolaba kadha akaanza kula nchi hivi sasa ni kama anatafuta kutoka sas

kusema kweli nimesikia nyimbo zake mbili ni nzuri lakini simuoni ali kiba ninaye mjua mimi ukilinganisha na diamond na ommy dimpoz na mavoko
inabidi ajipange aisee

Good observation sema watu wanajitoa ufahamu kama hawajui vile.
Time will tell ingekuwa vizuri ally k mashabiki wanhemuacha afanye yake pasipo kumshindanisha na chibu maana sidhani kama ataweza kumfunika ghafla hivi
 
Hata kama sio shabiki wa diamond ila kuna kitu lazima uwe kinakuvutia kutoka kwake.Unaweza kujitahidi kumchukia labda kutokana na skendo zake za nje ya muziki wake ila ukirudi kwenye muziki wake nadhani anastahili kuwa pale alipo.
Kuanzia muonekane wake mpaka anavyoweza kuji-brand kimataifa na anavyojua kucheza na akili za mashabiki.

Wasanii wengi wa bongo flava wana tabia ya kurithika kwa mafanikio yao ila Diamond toka atoke na Kamwambie mwaka 2009 mpaka 2013 amezidi kwenda juu bila kuonyesha kusuasua wala kutetereka.
Angalia video ya number 1.Wimbo unaweza sema ni wa kawaida kabisa ukilinganisha na mbagala, kamwambie au nitarejea ila akili ya kwenda kufanya video cape town,south africa kumeifanya nyimbo iwe number 1 kama jina lake lilivyo.

Ushawahi kujiuliza Ali kiba yupo wapi pamoja na kuwa kila mtu anajua ni mkali kuliko diamond?Ali kiba toka atoe my everything mwisho wa mwaka jana amepotea hata video ajatoa.Tukaja kumuona kwenye kidela na Abdu kiba bila kurefusha maneno Ali anashindwa kuufanya mziki wake kama mashabiki wake wanavyotarajia labda pengine angekuwa anafukuzana na diamond ila matokeo yake vijana wake kama Rich mavoko na Dimpoz ndio wapo nyuma ya Diamond huku Ali akibaki msanii mkali ambae ameshindwa kuendelea kutuonyesha ukali wake sijui anawaza nini!

Ushawahi kujiuliza kama ule wimbo wa airtel hands across the world waliopiga wakina r.kelly,fall ipupa,2 face kama nafac ile angeipata diamond leo angekuwa wapi?
Diamond leo anatuletea remix ya number 1 f.t Davido kila mtu anaisubiri kwa hamu ila Ali alishindwa hata kutuletea remix ya Dushelele f.t Fally ipupa pamoja kukaa nae wiki nzima wakifanya wimbo pamoja.
Diamond ni mjanja anaejua biashara ya mziki ilivyo labda pengine ni management yake inayomsimamia.Diamond kaweza kuubadilia mziki wetu kwa kiasi chake leo ndio msanii anaelipwa pesa nyingi kwa show.

Nampenda ali kiba,naipenda sauti yake,anajua mziki kuliko Diamond ila Ali ameshindwa kubadilika na kukubali soko la mziki linataka nini.

Amka Ali huyu Diamond hakuwezi ila usipokuwa makini utajikuta nyuma ya rich,barnaba,dimpoz na ben pol maana mziki sio kuimba peke yake mziki ni biashara pia

Sasa wewe ndo umeongea point
 
Mtu hata awe maarufu vipi, kwangu kama haja imba hata wimbo mmoja wa kuzungumzia uozo wa serikali na chama lake kwa kutuharibia nchi na kunyonya wananchi, huyo kwangu ni bure tu. Akili haiwezi kuishia kuimba mapenzi tu lazima kuta kuwa na tatizo la elimu kwa mtu huyo.

Nawapa salute akina Prof. J, Mr. II, Kala Jeremiah, E. Sanga na wapenda nchi kama hao kuliko wapenda magodolo, uroda na misifa ya kijinga.
Asanteeeeee
 
Wabongo mpoje jamani mbona hii kitu haipo mnailazimisha!!!!!!? Mnapenda bifu sana etieeh
 
Acha wivu Rich Pol,
upende husipende Diamond ni mwanamusiki aliye na kiwango cha juu hapa
nchini kwa sasa. Ni wajibu wangu, wako na watanzania wengine kulitambua
hili. Tuache wivu usio na faida. .....Huyu Domo huko juu inabidi
tumuunge mkono kwa faida yake na taifa kwa ujumla.

Ni kweli mkuu yaan watu wanawivu,hadi wanapindisha uhalisia,Diamond wakuache unaweza.
 
Madafanta...... Yaan mnacreate kitu kisichokuwepo! Nani kasema kuna beef? Hilo beef lilianza lini? Au mnatamani wawe na beef? Acheni hizo wadau!!! Kama wewe unampenda ndomo hiyo haina maana kuwa kiba hajui. Ndomo anapiga biashara ya muziki kinoma halafu kiba anaimba sana........ Kiba asante kwa kunipa cha kuongea maana kimya chako kiliwapa teamndomo kidomodomo hadi wakawa wanakera
 
me yangu macho, wewe sifia huyu ponda yule lakini mwisho wa siku wote ni watoto wetu, watanzania wenzetu.
 
Screenshot_2014-07-26-10-20-32.png

Msanii na Producer anaetamba na Bolingo kwa sasa Bob Junior "Sharobaro" leo ameongelea ama kutoa ushauri kuhusu kutokuelewana kati ya wasanii wawili wa Bongo Fleva Ally Kiba na Diamond Platnumz, Amesema kuwa Ally Kiba ni Best Vocal na Best Artist in Bongo na Africa hivyo amemtaka Mdogo Mdogo ambae kwa jina la wimbo yani Diamond kumuheshimu Ally Kiba, Pia ameendelea kwa kumwambia Ndagushima kwa jina la wimbo yani Ommy Dimpoz kwamba ugomvi huo haumuhusu hivyo asitafute kiki kupitia Beef hiyo.

bb.jpg


Nanukuu "BIFU SIO KITU KIZURI UNAJUA ALIKIBA NI BEST VOCAL ANAJUA AKIFANYA CHO KUJIINUA SO UKIMYA WAKE USIKUFANYE WW KUMTUKANA KIIVYO NA KUMSEMA VIBAYA ATA WW #NGAGUSHIMA HILI BIFU WW ALIKUHUSU ACHA KUTAFUTA KIK KUPITIA BIFU ZA WATU ALIKIBA UR THE BEST AND MY BEST ARTIST IN BONGO AND AFRIKA SO WW #mdogomDOGO
ALIKBA ITS UR BROTHER MUHESHIMU BHANA"
 
Watu ndio wanaowachonganisha tu au ni style yaa kupromote ngoma zao
 
Mwana dsm ya Ali k. ni nyimbu 10 za ndomo..ikikuuma mshaur kakako ndomo atunge ngoma zenye ujumbe..

Daaah kaka naomba kujua elimu yako maana hapa umetoa point kama professor aliyebobea kwenye masuala ya muziki na burudani.... Bonge point
 
Back
Top Bottom