Mayu
JF-Expert Member
- May 11, 2010
- 7,621
- 12,505
Ali Kiba kwangu atabaki ndio msanii ananivutia uimbaji wake
Lakini linapokuja swala la nani yupo juu kwa sasa basi siwezi kuidanganya nafsi yangu Diamond yupo juu sana tu
Tatizo ali kiba anajua kuimba lakini hajui kufanya muziki
Diamond hamfikii.alikiba kuimba lakini anajua kufanya muziki
Siri ya muziki ni pindi ukiwa juu hakikisha unashikilia hapo hapo, ni mwendo wa pini juu ya pini plus matangazo na mbwembwe za kufa mtu, yaani unahakikisha unawashika akili wapenzi.wako
Mbwembwe za.kufanya sijui video kwa mamilioni peke yake inakufanya kutaka kuiona hata kama huipendi
Kufanya kolabo na akina davido si mchezo
Kiba aliichezea nafasi alikaa na akina R Kelly. na mastaa kibao lakini aliporudi akapiga kolaba kadha akaanza kula nchi hivi sasa ni kama anatafuta kutoka sas
kusema kweli nimesikia nyimbo zake mbili ni nzuri lakini simuoni ali kiba ninaye mjua mimi ukilinganisha na diamond na ommy dimpoz na mavoko
inabidi ajipange aisee
Lakini linapokuja swala la nani yupo juu kwa sasa basi siwezi kuidanganya nafsi yangu Diamond yupo juu sana tu
Tatizo ali kiba anajua kuimba lakini hajui kufanya muziki
Diamond hamfikii.alikiba kuimba lakini anajua kufanya muziki
Siri ya muziki ni pindi ukiwa juu hakikisha unashikilia hapo hapo, ni mwendo wa pini juu ya pini plus matangazo na mbwembwe za kufa mtu, yaani unahakikisha unawashika akili wapenzi.wako
Mbwembwe za.kufanya sijui video kwa mamilioni peke yake inakufanya kutaka kuiona hata kama huipendi
Kufanya kolabo na akina davido si mchezo
Kiba aliichezea nafasi alikaa na akina R Kelly. na mastaa kibao lakini aliporudi akapiga kolaba kadha akaanza kula nchi hivi sasa ni kama anatafuta kutoka sas
kusema kweli nimesikia nyimbo zake mbili ni nzuri lakini simuoni ali kiba ninaye mjua mimi ukilinganisha na diamond na ommy dimpoz na mavoko
inabidi ajipange aisee