Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina uhakika sana ila nadhani alimaanisha wajenzi huruIlluminati ndio nini?
🤣🤣🤣🤣🤣Yaani Verified User unaandika Upuuzi kwa picha za video shoots?
🤣🤣🤣🤣🤣Utakuta huyu mtoa mada ni kijana shupavu kabisa,na mishe zake anazifanyia maeneo ya Moshi marangu mtoni.
🤣🤣🤣🤣🤣Tukiwaita "wachawi" mnaanza kulalama.
🤣🤣🤣🤣🤣Ndo nini hiki? Ila watu bana
Bila shaka diamond ni illuminati akubali au akatae nyimbo ambazo amekuwa anaziachia miaka hii mitano ni kielelezo tisha jamaa ni mjenzi huru nyimbo zote alizotoa zimekuwa zinapotosha zaidi jamii nyimbo zilizojaa matusi na lugha chafu isiyofaa kwa jamii mtoa mada nae amekuja na hoja kuacha kuimba matusi na kurudi kuimba nyimbo zinazoelimisha jamii kuna maswali yakujiulizaMleta mada unadhalilisha verified badges
Hata wewe 🤣🤣🤣Mleta mada unadhalilisha verified badges
Kwahiyo wote wanaoimba nyimbo za matusi ni freemason?Bila shaka diamond ni illuminati akubali au akatae nyimbo ambazo amekuwa anaziachia miaka hii mitano ni kielelezo tisha jamaa ni mjenzi huru nyimbo zote alizotoa zimekuwa zinapotosha zaidi jamii nyimbo zilizojaa matusi na lugha chafu isiyofaa kwa jamii mtoa mada nae amekuja na hoja kuacha kuimba matusi na kurudi kuimba nyimbo zinazoelimisha jamii kuna maswali yakujiuliza
Hata wewe 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣Am hater lia lia ila hawa jamaa wamezidi sasa kuzusha
Nani ni mwanzilishi wa nyimbo za matusi kama sio wcbKwahiyo wote wanaoimba nyimbo za matusi ni freemason?
😅😅😅Ccm mnaona vijana mliozalisha??
Mimi sijui vipi lakini kitendo cha kuanza kuishi na Nyoka kilinishtua sana mimi kama mtu wa kiroho.Bila shaka diamond ni illuminati akubali au akatae nyimbo ambazo amekuwa anaziachia miaka hii mitano ni kielelezo tisha jamaa ni mjenzi huru nyimbo zote alizotoa zimekuwa zinapotosha zaidi jamii nyimbo zilizojaa matusi na lugha chafu isiyofaa kwa jamii mtoa mada nae amekuja na hoja kuacha kuimba matusi na kurudi kuimba nyimbo zinazoelimisha jamii kuna maswali yakujiuliza