Slowly
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 10,589
- 35,268
Tudy Thomas ni producer mzuri sana hasa upande wa vionjo vyenye ladha ya kuvuta hsia, katika nyimbo zilizompaisha Diamond kimataifa nyingi zilikuwa na mkono wa Tudy Thomas ,
Ni kweli ana Producer wake lakn still mkono wa Tudy ni wa mhimu sana kwenye nyimbo za mond , beat zenye ladha tamu kama, My number one Remix , Mdogo mdogo, Nasema nawe, I miss u, Utanipenda, Make me sing n.k tumezimis sana....
Ni ushaur tu , Simba afanye tena kazi na jamaa ili mashabiki zake tuzidi kuenjoy
Ni kweli ana Producer wake lakn still mkono wa Tudy ni wa mhimu sana kwenye nyimbo za mond , beat zenye ladha tamu kama, My number one Remix , Mdogo mdogo, Nasema nawe, I miss u, Utanipenda, Make me sing n.k tumezimis sana....
Ni ushaur tu , Simba afanye tena kazi na jamaa ili mashabiki zake tuzidi kuenjoy