Diamond Platnums arudi kwa Tuddy Thomas

Diamond Platnums arudi kwa Tuddy Thomas

dah basi hii kazi ya u-producer itakua hailipi kabisa tena nahisi hawa jamaa ndio wanawaomba wasanii wakubwa wawatengenezee nyimbo tena free kabisa,TUD namuona pale getoni kwake maeneo ya savei .geto limechoka balaa halafu geto moja wanakaa kama washkaji watano .maisha magumu balaa

Basi hajipendi na kakosa kujiongeza
 
hafanyi sound engineering.. anachofanya ni kupanga drums kwenye software za fruit loops, studio one etc kisha kimix na vocals..

hizo sizo duties za sound engineer.. google it uelewe zaidi?

hayo makampuni ya kutengeneza software za kuandaa beats wanaajiri sound engineers wawasaidie kuandaa sounds za beats.

yaani wewe upange base, drums, vocals, snare kwa software waliyotengeneza wanaume wenzako ujiite engineer.. acha uhuni ukitaka uwe engineer jifunze pysics kwanza upige pepa nzitoo
kwahiyo ENG lazima awe ameiva hesabu na fizikia!!!

ndio maana mnafundisha wanafunzi tuition badala ya kufanya kazi za ndoto zenu.
 
hivyo vyeo vya kujipa tu.. engineer bila kusajiliwa bodi ya engineer umeona wapi?

hayo majina tu wanapeana mtaani mwisho wa siku wanapanga gheto watu watano rum moja unasema engineer analala humu...

ili uwe engineer hata wa upuuzi lazima uwe na degree ya engineering..

sasa mtu hata coet hapajui halafu anajiita engineer.. eti sound engineer.. engineer gani hesabu o level tu kapiga mswaki

engineer hajui paper ya physics A level ina pepa 3 za motooo kweli kweli.. halafu unasema ni engineer
Sasa kwaio umekariri hio Sound Engineering inafundishwa COET? Wanaita College Of Engineering & Technology wakati wanatumia vitu outdated hakuna innovation yoyote ile bongo hakuna chuo kinafundisha Sound Engineering hio kozi ipo USA, UK, South Afrika na kimtindo Kenya
 
hafanyi sound engineering.. anachofanya ni kupanga drums kwenye software za fruit loops, studio one etc kisha kimix na vocals..

hizo sizo duties za sound engineer.. google it uelewe zaidi?

hayo makampuni ya kutengeneza software za kuandaa beats wanaajiri sound engineers wawasaidie kuandaa sounds za beats.

yaani wewe upange base, drums, vocals, snare kwa software waliyotengeneza wanaume wenzako ujiite engineer.. acha uhuni ukitaka uwe engineer jifunze pysics kwanza upige pepa nzitoo
Huna unachokijua definition ya Sound Engineer ni hii hapa chini kwa mujibu wa wikipedia
An audio engineer (also known as a sound engineeror recording engineer)[1] helps to produce a recordingor a live performance, balancing and adjusting sound sources using equalization and audio effects, mixing, reproduction, and reinforcement of sound. Audio engineers work on the "...technical aspect of recording—the placing of microphones, pre-ampknobs, the setting of levels. The physical recording of any project is done by an engineer ... the nuts and bolts."[2] It's a creative hobby and profession where musical instruments and technology are used to produce sound for film, radio, television, music, and video games.[3] Audio engineers also set up, sound check and do live sound mixing using a mixing console and a sound reinforcement system for music concerts, theatre, sports games and corporate events.
 
dah basi hii kazi ya u-producer itakua hailipi kabisa tena nahisi hawa jamaa ndio wanawaomba wasanii wakubwa wawatengenezee nyimbo tena free kabisa,TUD namuona pale getoni kwake maeneo ya savei .geto limechoka balaa halafu geto moja wanakaa kama washkaji watano .maisha magumu balaa
Dah kumbee mambo yenyewe ndo haya👽
 
Maneckey hitsong yake kwa mond ni ukimwona tu ambayo alivujisha ndo wakazinguana, ngoma kali af producer akairelease, alimharibia mahesabu kweli Mond....hyo song mpak leo ni demo, Mond akapiga chini hata kuitolea video japo ilitambaa sana kitaa
huyo jamaa ni kiraka aisee....ile nyimbo ni katika nyimbo za daimond ambazo zimekaa vizuri sana (kwa mtazamo wangu)....daah
 
hivyo vyeo vya kujipa tu.. engineer bila kusajiliwa bodi ya engineer umeona wapi?

hayo majina tu wanapeana mtaani mwisho wa siku wanapanga gheto watu watano rum moja unasema engineer analala humu...

ili uwe engineer hata wa upuuzi lazima uwe na degree ya engineering..

sasa mtu hata coet hapajui halafu anajiita engineer.. eti sound engineer.. engineer gani hesabu o level tu kapiga mswaki

engineer hajui paper ya physics A level ina pepa 3 za motooo kweli kweli.. halafu unasema ni engineer

Dah, mwamba una hasira
 
Back
Top Bottom