Diamond Platnumz aahidi kuwafanyia kufuru wanatandale

Sipendagi miziki ya huyu jamaa,lakini kama anatimiza ahadi zote anazoahidi au angalau nusu ya ahadi naomba mungu amzidishie maisha na amuongezee kipato mara kumi ya alichonacho na ntaanza kumwita DON.
 
Hii kitaalamu inaitwa Corporate Social Responsibility,watu wa social work wanaita Philanthropy. Ni kitendo kizuri na cha kuigwa
Pia watu marketing na public relations tunaita hivo , ikiwa na lengo la ku create reputation , image na brand ya SIMBA[emoji95]
 
Ni mawazo mazuri mnooo kuwazwa na mtoto mdogo kama Diamond. Hongera sana dogo.

Hofu yangu kubwa ni kwenye management itakayoratibu hiyo kazi yote. Manake hii inabidi iwe kama foundation fulan hivi. Waweza kuwa na nia nzur sana Ila watendaji wakakuangusha sanaa. Wakapiga hela ww ukabaki mtupu. So jitahd sana kikosi kazi kiwe imara. Kiwe na watendaji waliobobea kwenye community development, vso na startup business management.
Huo ni ushauri wangu tuu.
 
Kibakuli yeye sijui atatoa nini
 
From @diamondplatnumz
Leo zoezi la kuelekea kupewa Kadi za Afya, Mitaji, Ukarabati wa Shule na kadharika zilianza Tandale... Nawashkuru sana Familia yangu , Management pamoja na Kila alienyuma ya hili kuhakikisha tunalifanikisha kwa pamoja..... asante @resolutioninsurancetz @dcbbanktz cocacola @diamondkaranga kwa kungana nami kwenye hili... Tafadhali naomba kesho Msisahau kuungana nami pale Kiwanja cha Tandale Maguniani 🙏🏻 #AsanteTandale #ABoyFromTandale
 

Attachments

Hapo tayari ana ugomvi na wanasiasa wanaonyemelea na wanaotetea hilo jimbo,si ajabu watu wakaanza kuhimizwa kususia kazi zake kama ilivyo huko Iringa na bidhaa za ASAS. Subirini kuona kitakachoandikwa na gazeti la Mawio/Mwanahalisi kuanzia sasa.
 
Inaezekana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…