Diamond Platnumz aburuzwa Mahakama ya watoto na Hamisa Mobetto!

Soo sorry Rebeca 83 kwa kukukosoa kule nyuma......nimepata mantiki yako..
Hiyo wengi wanaipata kwenye sheria ya ndoa kwenye kipengele cha castody and mantainance of children hasa ndoa inapo vunjika ndio kiasi kisicho zidi hicho huwa kina amuliwa kutolewa..
Lakini ukiangalia kwenye sheria ya mtoto ya mwaka 2009 hapo ndipo point yako nimeiona kwani kipengele kinaonesha wazi kuwa kiasi kitaamuliwa kulingana na uwezo wa kipato wa wazazi wote wawili na wazazi wote wawili wanalo jukumu kulea na kumtunza mtoto....
Ni wazi kabisa kwenye case hii Child act 2009 ndio itatumika na ni wazi uwezo wa mali na kipato cha wazazi ndio utaifanya mahakama kutoa maamuzi ya kiasi cha kulipwa....
Na kwenye hili mahakama hutoa nafasi kwa mzazi kusema kiasi anacho weza kutoa na mahakama inapima na kutoa maamuzi....
Kwenye case hii ya Hamisa na Diamond kiasi kitakacho idhinishwa hakitozidi laki tano kwa mwezi.....
 
SHERIA YA MTOTO YA MWAKA 2009 INASEMA

1. MTOTO ANA HAKI YA KUTUMIA MALI ZA WAZAZI WAKE IPASAVYO (HAIWEZEKANI WEWE NI TAJIRI MTOTO WAKO UNAMLEA KTK MAZINGIRA YASYOENDANA NA UWEZO WAKO)
2. MTOTO ANA HAKI YA KUPATA MATUNZO YOTE MUHIMU (HATA KAMA HAUNA UWEZO, MANA ULIZAA ILI IWEJE?)
3. MTOTO ANA UHURU NA HAKI YA KUISHI NA WAZAZ WAKE WOTE
4. WATOTO WANA HAKI SAWA LINAPOKUJA SUALA LA HUDUMA (HAIWEZEKAN TIFAH UMLEE KIFAHARI HALAFU ABDUL KIMASKINI)

ONYO: KUMTUNZA MTOTO SYO JAMBO LA HIYARI.
AIDHA, IFAHAMIKA KUWA, MTOTO NI YULE MWENYE UMRI CHINI YA MIAKA 18

Diamond, kwa uwezo wako huwezi toa matunzi ya laki 2 kwa mwezi, hela ndogo mno.
 
Uzinzi mbaya sana


.. Hapo Atanyolewa mpaka ataelewa
Kama hamjui hapo ndio mahakama inapoenda kutoa hukumu ya kulimpa 75,000/= kwa mwezi. Hizo ndio ghalama za mtoto kwa miaka saba . sasa Platinum atamuwekea mzigo wote wa miaka saba Pamoja na bima ya afya baada ya hapo tukutane baada ya miaka saba anavyokuja kumchukua mwanae
 
unaelewa unachokisoma! Hiyo link umeiweka wewe mwenyewe lakini unashindwa kuelewa context ya hoja!!

Hiki ndicho wameandika:Mosi, hao watu walikuwa wanaishi pamoja na sasa wametengana!!!! Sasa kama walikuwa wanaishi pamoja na huyu mama ana jukumu la kulea mtoto na alipokuwa anaishi ameondoka kutokana na separation; hapo ndipo mahakama inaweza kutamka mzazi mlezi apewe nyumba!!! Na hiyo nyumba sio ya mama ndio maana wameandika "to purchase a property on trust for their child for them to live in with the other parent until that child reaches 18."

Kwa kauli hiyo, hata kama nyumba inanunuliwa, inakuwa sio ya mama!!! Hapo anakuwa kama ameazimwa tu kulelea mtoto na akifika 18, nyumba inarudi kwa aliyenunua!!!

Lakini ananunuliwa nyumba kivipi? Rudi hapo kwenye GREEN! Atanunuliwa hiyo nyumba If an application is made under Schedule 1,.

Baada ya kufika hapo ulitakiwa kufahamu what's under Schedule 1. Mosi, ulitakiwa kufahamu hiyo ni special case na sio kwamba kila inapotokea suala la child support, nyumba inanunuliwa!!!

Pili, wenyewe wametafsiri hiyo under Schedule 1 kwamba:Kwamba, primary jurisdiction of CMS is for child maintenance! Na kama mahakama inaona $5000 zinatosha kabisa kwa basic child maintanance; basi hiyo ndio amount for CMS!!!

Lakini inapotokea case niliyosema awali kwamba hapo kabla walikuwa wanaishi pamoja na sasa wametengana wakati mama anatakiwa kulea mtoto huku akiwa hana pa kuishi, na mahakama inaona baba anao uwezo beyond basic child maintenance; hapo ndipo application itafanyika Under Schedule 1 na kumtaka kumtaka baba anunue nyumba itakayomwezesha mama kuishi na huyo mtoto lakini hiyo nyumba sio ya mama!!!

Na kama ungekuwa umesoma source yako mwenyewe, ungekuta wameandika wazi kwamba hiyo Schedule 1 ni for Wealth People and not for everybody!!!

Na hilo la nyumba nilishasema tangu mwanzo kwamba:Sasa huo upuuzi unaosema nimeandika ni upi? Nimeandika upuuzi au umeshindwa kuelewa source ambayo umeiweka wewe mwenyewe!

Huwezi kuelewa masuala ya kisheria kwa kusoma mstari mmoja peke yake; never ever!!!![/QUOTE]


mbona nilisema mwanzo,kuwa atapewa hivyo vitu,ila atarudisha mtoto akiwa 18 years old,

umetoka mbali kweli mkuu,

kutoka mtoto utalipa akiwa na miezi mitatu,miezi tisa,mpaka kukubali kununua nyumba mtoto wako alelewe hahahahahahhhhhhhhhhhhhhhhhhhh

Practically nyumba akipewa ni ya kwake hata kama ni for 18 years,tena afyonzeee for those years akimaliza amwachie gofu lake,lol

tafuta mwenyewe;is schedule1 for wealthy people only????
 
Duh! Typical clone of possible Hamisa's advisors!!!

Eti nimetoka kwenye kulipa miezi 3 hadi kukubali kununua nyumba!! Nimegundua tatizo lako lingine ni usahalifu au kutokuwa makini!!

Hapa tulikuwa tunazungumzia Tanzania na wewe ukadai mama anatakiwa kulipwa! Nikakuambia hakuna kitu kama hicho! Ukasema mama lazima alipwe kwa sababu analea full time!

Hapo ndipo nikakuambia kama ndivyo, basi sema alipwe miezi 3 kwa sababu, kisheria, hata kama ameajiriwa anapewa full paid 3 months maternity leave!!! Which means, sheria inatambua mama anatakiwa kutoa full time child care for 3 months!!

Sasa kwako wewe hiyo ni kwamba nimetoka kwenye miezi 3 hadi miaka 18? Serious?


AGAIN & AGAIN narudia, hiyo sheria ya nyumba not for every case! Only if kama mlikuwa mnaishi pamoja na hilo nimesema tangu awali and one of the parent is more wealth.

Usiwe una-Google ref na kuishia kusoma heading na outlines peke yake! Ungesoma source yako mwenyewe hivi ndivyo inasema: 1. RED: Inaonesha hiyo clause is exclusively for wealthy!
2. GREEN: Hapo wanakuambia wazi kwamba CMS's responsibility ni child's needs up to a certain level of incomee ambayo ina-determine basic child living needs.

Lakini kama mzazi ana uwezo wa ku-offer beyond basic needs (as per RED) ndipo unakuja kutumia Schedule 1.

3.BLUE: Hao wazazi walikuwa wanaishi pamoja, married or committed to each other na mmoja wa hao wazazi ni wealth than another. Au inawezekana utajiri wao ni wa pamoja lakini mzazi ana percentage kubwa sana kuliko mwingine.

Assume Jackline Mengi na Mzee Mengi!

Sasa wazazi kama hao wanapotengana na yule ambae ni less wealth ndie mwenye child custodianship, hapo ndipo Schedule 1 INAWEZA kutumika baada ya kufanya application!

Lakini sio mmekutana disco, mmeanzisha uhusiano lakini kila mtu anaishi kwake kisha unapigwa mimba unadai ujengewe nyumba!! Hakuna kitu kama hicho!!

Narudia, soma ulichoweka mwenyewe! Lakini sio kusoma tu bali unatakiwa kuelewa ulichokisoma!!!

Or, to make it simple, wewe si mwanamke bhana! Go and seduce a richman upate mtoto halafu usubirie kujengewa nyumba kama hujaishia kupata 70K za child support!!! But to be more smart kabla hujafanya hivyo, kwanza muulize Faiza Ally nyumba aliyojengewa na Sugu for child support ipo mtaa gani!!!
 
My dear usiwe unatafuta bifu kwa watu wapole kama emmyta. Alichoandika na ulichomjibu ni vitu viwili tofauti
Hahaaaa. Bora mumy umenisaidia kumjibu kwa sababu nilijikuta vidole vyangu vinagoma kuandika ambacho kingekuwa bora kwa yeye kuweza kunielewa.

Sababu sio kwa kukurupuka kule.
 
Yaan bonge la mkurupuko,bora angekurupukia wapenda ubishi kama sie tuanzishe ligi yetu hapa.
Hahaaaa. Bora mumy umenisaidia kumjibu kwa sababu nilijikuta vidole vyangu vinagoma kuandika ambacho kingekuwa bora kwa yeye kuweza kunielewa.

Sababu sio kwa kukurupuka kule.
 
Yaan bonge la mkurupuko,bora angekurupukia wapenda ubishi kama sie tuanzishe ligi yetu hapa.
Hahaaaa. Ila kukaa kwangu kimya kumemfanya ajione alichokifanya sicho. Itakuwa ananijua chaupole hivyo akaamua aniamshie dude.

Na angeingia kwenye anga zako sijui kama pangetosha hapa. Ila nimeshamsamehe bure.
 
That is our emmyta unajua kusamehe haraka,ntajifunza toka kwako ili kupunguza ligi ndogo ndogo
Hahaaaa. Ila kukaa kwangu kimya kumemfanya ajione alichokifanya sicho. Itakuwa ananijua chaupole hivyo akaamua aniamshie dude.

Na angeingia kwenye anga zako sijui kama pangetosha hapa. Ila nimeshamsamehe bure.
 
Diamond alishakosea kuzaa na huyo..

Halifutiki hilo.

Alee mtoto tu. Tena kwa hali na mali sawa na kipato chake.

Hawezi akajitia uchizi kwa hili..

AVUNE ALICHOPANDA.
 
soma huo mtandao niliokupa,ukipata muda mmnh,mama anapewa house,car na holiday allowances,YAAANI WEWE NIMEKUWEKEA LINK NA BADO UNAANDIKA UPUUZI,NATOKA RASMI KWENYE KOMBE LA KUGOMBEA MBUZI,KWA HERI....
Hapa kwetu ni 70000 ndio halali yke,humu jf kuna wanasheria hebu wasome vizuri uelewe....dada yangu inaonekana unamahaba na incubator wa tandika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…