Diamond Platnumz aburuzwa Mahakama ya watoto na Hamisa Mobetto!

Hamisa anazitafuta milioni tano kwa mwezi. Ila haya mambo ya kulazimisha vitu mwisho wake huwa si mnzuri hata kidogo. Pamoja na kwamba matunzo ni haki ya mtoto ila nachokiona Hamisa anazidi kujidhalilisha tu.

[emoji276] mm naww hatujui behind the scenes
 
Mahakama ya watoto anatafuta nini Diamond? Huu uongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…