Diamond Platnumz aburuzwa Mahakama ya watoto na Hamisa Mobetto!

Diamond Platnumz aburuzwa Mahakama ya watoto na Hamisa Mobetto!

hivi umri wa diamond kumchukua uyo mtoto ni miaka mingap?,,atoe tu matunzo ukifika age hiyo anachukua mtoto na aweke mkataba wa mama kutokuonana na mtoto kama CR7!!!!!
 
Ndiyo atajua balaa la kuzaa na msingi kiuno ni kitu gani!
Sasa ngoja na kule Zari aliamshe dude la kudai matumizi,
Ndiyo akili itamkaa sawa!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
hivi umri wa diamond kumchukua uyo mtoto ni miaka mingap?,,atoe tu matunzo ukifika age hiyo anachukua mtoto na aweke mkataba wa mama kutokuonana na mtoto kama CR7!!!!!
hayo matunzo ndio yamempeleka mahakamani
 
Diamond itabidi amchukue Albert Msando awe wakili wake...
 
Hamisa anazitafuta milioni tano kwa mwezi. Ila haya mambo ya kulazimisha vitu mwisho wake huwa si mnzuri hata kidogo. Pamoja na kwamba matunzo ni haki ya mtoto ila nachokiona Hamisa anazidi kujidhalilisha tu.
Njaa nomaaa
 
Hamisa sasa hata ile laki tano ndio hutoiona....utaishia kupata 70,000 ya serikali tu........dhiki za familia usipeleke kwa familia nyingine mtaishia kuuza utu.

Inamaana hamisa angezaa na chid benz leo hii angeambulia hata ten kwa wiki kweli...?
 
Hawa watu hawaeleweki.Huyu Hamisa kutwa kujishaua mitandaoni,kwani si atulie jamani?Kashaharibu uhusiano ya Zari na Diamond naona kaona jamaa bado haeleweki kaamua kuja na hii.Diamond ana makosa ila huyu Hamisa inaonekana anafurahia kabisa kumuharibia Zari.Tatizo Majizzo anatakua anatoa mpunga wa kutosha akadhani Diamond itakuwa zaidi
Huyu dem mswahili sana kakutana na mama yake hawachekani tabia
 
Back
Top Bottom