Diamond Platnumz adaiwa kodi Sh. Milioni 400 na TRA

ana miliki nini na nini mpaka iwe ml 400
Kwani wamekwambia ni kodi inayotokana na vitu anavyomiriki?!!!! Kuna aina nyingi za kodi ungetakiwa kwanza kuuliza ni kodi ya aina gani ndio ungefikia kwenye hilo uliloandika!
 
Diamond anachitakiwa kuwa nacho ni kuwa na mshauri wa kodi. Atamsaidia mengi badala ya kulalamika. Ukijipanga vema kodi inalipika.
yah atakua amesha pata mwanzo alwayz unakuaga mgumu atasolve tu
 
Yaani kilichoandikwa ndani tofauti kabisa na kichwa cha habari kinavyomaanisha . Haya sasa mkimaliza kushangaa hilo huku mtaani kwetu RAIS kafumaniwa.
 
Huu udaku alikupiga nao picha juzi juzi, angekuwa anadaiwa pesa hizo hata hiyo picha wasingepiga naye.
 
Anahitaji business management professional kwa mahali alipofika,ulipaji wa kodi ni jukumu lake lkn ni suala la kitaalamu zaidi vinginevyo ataona km TRA wanamnyanyasa
 
Kama hakwepi kodi mbona anadaiwa sasa?
 
Diamond ni mfanyabiashara pia ivyo ni kawaida kudaiwa kodi na ukiona mpaka anadaiwa 400 M ujue dogo yuko vizuri kiuchumi sio lelemama.
 
HUYU DOGO ANASABABISHA WALIOSOMA WAICHUKIE ELIMU. WATU WALIKUWA WANAKESHA U.E NA MA-SULLIVAN SUMMIT SIJUI SEPT. CONFERENCE.

YEYE AMEKESHA KUANDIKA MISTARI SASA ANAINGIZA MABILIONI.

WENGINE KWANZA TUMEAMBIWA TUNA VYETI FEKI KUDADADEKI.
 
Payee za wafanyakazi wa CHADEMA
Kama wale masikini waandishi wa Uhuru publication waliokuwa WANADAI mishahara miezi 7 mpaka wananyimwa unyumba home, kweli ccm ilipaswa kujua dawa ya deni kulipa sio kusubiri mpaka Sizonje aje atoe amri ya kulipa.
 
Kama wale masikini waandishi wa Uhuru publication waliokuwa WANADAI mishahara miezi 7 mpaka wananyimwa unyumba home, kweli ccm ilipaswa kujua dawa ya deni kulipa sio kusubiri mpaka Sizonje aje atoe amri ya kulipa.
Kwani wale wafanyakazi wa Tanzania Daima wao washalipwa madeni ya mishahara 4 au mliwatumia ?
 
dawa ya deni ni kulipa.
Mbowe anaonewa.
Anahitaji business management professional kwa mahali alipofika,ulipaji wa kodi ni jukumu lake lkn ni suala la kitaalamu zaidi vinginevyo ataona km TRA wanamnyanyasa

Yaani kilichoandikwa ndani tofauti kabisa na kichwa cha habari kinavyomaanisha . Haya sasa mkimaliza kushangaa hilo huku mtaani kwetu RAIS kafumaniwa.

yah atakua amesha pata mwanzo alwayz unakuaga mgumu atasolve tu
 
Sasa zile sifa sifa zake za uongo uongo Mara nimelipwa na Universal bilioni 2 Mara Nimenunua nyumba south zinamtokea puani....

Watampukutisha kila kitu maana hiyo hela anayodaiwa haifiki hata nusu ya kipato chake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…