Diamond Platnumz adaiwa kodi Sh. Milioni 400 na TRA

Diamond Platnumz adaiwa kodi Sh. Milioni 400 na TRA

Alisema ndani ya nchi anafanya show 1 kwa million 100, sasa kama hesabu za TRA zinaendana na huu muamala wake alipe iyo pesa.
 
Bro si ulikua unafagilia ccm nambari wanii hamnaa namnaa
 
Chibu naemfahamu mimi sio wa kulipa madeni kabisa.nakumbuka aliuziwaga gari ile landcruiser,akalipa nusu bei.jamani ile iliobaki alidaiwa mwaka mzima anazungusha kulipa mpaka mwenye gari akamdanganya kuna kifaa inatakiwa ifungwe.alipoipeleka gereji,mwenye gari akaichukua ndo ikauzwa juu kwa juu.hata hiyo bmw anayotumia amelipa nusu tu mwenye gari kadai mpaka kafa.sijui kama atalipa hlo deni la ml. 400!
 
View attachment 508381

Ni miezi mbili tu iliyopita ambapo Diamond alienda kwa makao makuu ya Mamlaka ya Mapato TRA baada ya kuitwa ili alelezee namna anavyopata mapato yake na namna gani analipa kodi ya serikali.

Diamond alipewa cheti na TRA kama dhibitisho kuwa analipa kodi ya serikali kama inavyohitajika na sheria ya Tanzania.

View attachment 508380

Mbunge wa Kinondoni Maulid Mtulia hata hivyo aliluambia Bunge kuwa Diamond anadaiwa na Mamlaka ya Mapato zaidi ya shilingi milioni 400.

Mheshimiwa Mtulia alidai kuwa hit maker huyo wa ‘Marry You’ alimwambia kwa sasa anadaiwa kodi ya zaidi ya shilingi milioni 400 na TRA.

Mbunge huyo aliyasema hayo wakati wa mjadala wa bajeti ya Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ulipokuwa ukijadiliwa bungeni.
Ni mkongo aliyeandika hii article? Mbona kiswahili kibovu hivi ?
 
Back
Top Bottom