Diamond Platnumz adaiwa kodi Sh. Milioni 400 na TRA

Diamond Platnumz adaiwa kodi Sh. Milioni 400 na TRA

"unaambiwa dai amekadiliwa tu kodi, hakuna records za mapato yake anayoingiza." This implies kwamba Diamond kaonewa
Yes! Nimemaanisha inawezekana diamond anaweza kuwa kalipa kodi ndogo kuliko kiasi anachoingiza, hii pia haiko sawa.. au anaweza kuwa kalipa kiasi kikubwa kuliko anachoingiza, na hii pia haiko poa. All in all hope ninaeleweka, nimejaribu kueleza kuwa tunahitaji mfumo ambao kila anayenufaika na kazi ya sanaa alipe kodi, jua kuna producers, video directors na managements, sasa nikiongelea sijui akili inaenda wapi, ninapenda sana wasanii wengine walipe hizo elf 50 lakini nauliza kama ukimuuliza man fongo mwaka huu umefanya show ngapi akakujibu tatu za charity utambishia, angalau diamond kaweka wazi hadi dau lake la kila show.
 
soma nilipobold na kupigia mstari, huyo sio wewe unapuyanga hapo?

Labda nikuulize swali, wasanii wanalalamika kuwa hakuna regulation za statistic za watumiaji wa caller tunes kwenye mitandao ya simu, yaani unaambiwa tu kuwa nyimbo yako wanatumia watu 10,0000/= so mwisho wa mwezi unaenda kuchukua pesa, ikumbukwe users wanakatwa tsh 300 kwa mwezi, wasanii wanataka regulations kama hizi zisimamiwe na mtu wa kati ambaye ni serikali na taasisi zake, Tanzania ina users 20mil wa simu, hili suala lingekuwa na uhalisia diamond au alikiba wengekuwa na users 1mil kati ya hao 20mil hata kama angelipwa tsh80 katika hiyo 300 hapo ndio ungejua wanapotajirikia wasanii wa ug na nigeria ni wapi.. hawa wasanii wana hasira haswa wakikutana na wenzao huko.
 
Yes! Nimemaanisha inawezekana diamond anaweza kuwa kalipa kodi ndogo kuliko kiasi anachoingiza, hii pia haiko sawa.. au anaweza kuwa kalipa kiasi kikubwa kuliko anachoingiza, na hii pia haiko poa. All in all hope ninaeleweka, nimejaribu kueleza kuwa tunahitaji mfumo ambao kila anayenufaika na kazi ya sanaa alipe kodi, jua kuna producers, video directors na managements, sasa nikiongelea sijui akili inaenda wapi, ninapenda sana wasanii wengine walipe hizo elf 50 lakini nauliza kama ukimuuliza man fongo mwaka huu umefanya show ngapi akakujibu tatu za charity utambishia, angalau diamond kaweka wazi hadi dau lake la kila show.
Suala la kodi liweke kama faida za kulinda kazi za wasanii, kulipa lazima walipe. Kweli, kazi za wasanii zinatakiwa kulindwa lakini hii sio kazi ya serikali pekee na wasanii pia wanatakiwa kuonyesha utayari wao, unalinda vipi kazi ya mtu anayegawa kazi yake mwenyewe bila kulipwa chochote?
 
Tena wangesema anadaiwa bilion 1 sawa tu hiki kitoto kisaliti hajui ccm hawana rafiki
 
Mkuu kuna atakayethubutu kumgusa huyu? Alivyo na visasi mtu huyo ataishiwa kutumbuliwa hata kama hana kosa lolote lile bali anatenda kazi yake. Kumbuka anavyomwinda CAG amtumbue kwa sababu tu kafanya kazi yake barabara.
Tupende tusipende TRA wapo sawa kumpatia hii kadirio la mil 400. Kama tunataka kumtetea tusiweke utetezi usiokuwa na uzito. Hapo juu umesema mshahara mil 400, umeshasema mshahara hivyo TRA wameshachukua chao kiitwacho PAYE. Hii mikataba wanaitangaza maredioni wanamkaribisha Zakayo ofisini. Tulitakiwa tuwasifu TRA badala ya kuleta U CCM na UKAWA hapa.
 
yaani asilimia 90 % walio coment hii post dhahiri ni team kiba

na hili ndo tatizo la wabongo wengi baada ya kuwa wazalendo wanaleta ushabiki mbele[emoji57][emoji57]

samahani jamani

imejipost tu


Mkuu una maamuzi ya haraka na wepesi wa kasi ya Magufuli,

Yaani post 17 tu umesharuka na takwimu (90%)

Imejiposti tu shaka ondoa
 
Ulijua utabebwa na hao maccm ! Tuliwasikitikia sana wasanii wakati ule wa kampeni mkatokwa povu kukashifu upinzani mnawabeba watu wasiowathamini mtanyooka endeleeni kuisoma namba ! Kudadadeki !!


Unadhani mpaka hapo hawajambeba, tena wamemsitiri kweli, wangekuwa wameshamteka au nyumba ya Madale ingekuwa mnadani saa hizi na mashuka ya Zari yametupwa barabarani.

Usifanye mchezo na Serikali ya visasi yenye wepesi wa maamuzi kwa wapinzani.

Ila kodi ni lazima si swala la kusioma namba, akalipe kama tu
 
Mwimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz ambaye juzi aliandikwa na gazeti la NIPASHE kwamba anadaiwa shilingi milioni 400 za kodi na TRA, amepost kipande cha video fupi ambacho Mbunge wa Mikumi Joseph Haule ‘Profesa Jay‘ amemuongelea bungeni.

Kwenye video hiyo, Profesa Jay amesema;"Juzi Msanii Diamond alikua analalamika TRA wamempelekea kodi ya Milioni 400, unaweza kujiuliza anadaiwa milioni 400 kwa kiasi gani alichoingiza?‘

"Downloads zinazofanyika mnaweza kuona Wasanii sasa hivi wanabanwa, TRA wanatamani kuvuna kutoka kwa Wasanii kitu ambacho bado hawajakipandikiza, tumekua na ule msemo kama wa zamani kwamba shamba likiwa na bangi ni lako lakini likiwa na dhahabu ni la serikali… tunataka kuchuma kitu ambacho hatujakipanda, inabidi Serikali ianze kuwekeza na kuwajenga Wasanii kutoka shule za msingi mpaka Chuo kikuu"

Baada ya maneno hayo ya Profesa Jay kwenye video, Diamond Platnumz aliichukua video hiyo na kuandika; "Ndio Maana kwenye Jimbo lako sikuja kupiga kampeni bro…kwakuwa niliijua mapema thamani na umuhimu wa Uwepo wako kwenye hilo jengo"
Huwezi kupanda mahindi utegemee kuvunxa bangi! Diamond alimpigia kampeni Pogba sasa mwache avune alichokipanda ili siku nyingine atafakar kabla ya kutenda
 
Mwimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz ambaye juzi aliandikwa na gazeti la NIPASHE kwamba anadaiwa shilingi milioni 400 za kodi na TRA, amepost kipande cha video fupi ambacho Mbunge wa Mikumi Joseph Haule ‘Profesa Jay‘ amemuongelea bungeni.

Kwenye video hiyo, Profesa Jay amesema;"Juzi Msanii Diamond alikua analalamika TRA wamempelekea kodi ya Milioni 400, unaweza kujiuliza anadaiwa milioni 400 kwa kiasi gani alichoingiza?‘

"Downloads zinazofanyika mnaweza kuona Wasanii sasa hivi wanabanwa, TRA wanatamani kuvuna kutoka kwa Wasanii kitu ambacho bado hawajakipandikiza, tumekua na ule msemo kama wa zamani kwamba shamba likiwa na bangi ni lako lakini likiwa na dhahabu ni la serikali… tunataka kuchuma kitu ambacho hatujakipanda, inabidi Serikali ianze kuwekeza na kuwajenga Wasanii kutoka shule za msingi mpaka Chuo kikuu"

Baada ya maneno hayo ya Profesa Jay kwenye video, Diamond Platnumz aliichukua video hiyo na kuandika; "Ndio Maana kwenye Jimbo lako sikuja kupiga kampeni bro…kwakuwa niliijua mapema thamani na umuhimu wa Uwepo wako kwenye hilo jengo"
Siamini
 
Mwimbaji wa Bongofleva Diamond Platnumz ambaye juzi aliandikwa na gazeti la NIPASHE kwamba anadaiwa shilingi milioni 400 za kodi na TRA, amepost kipande cha video fupi ambacho Mbunge wa Mikumi Joseph Haule ‘Profesa Jay‘ amemuongelea bungeni.

Kwenye video hiyo, Profesa Jay amesema;"Juzi Msanii Diamond alikua analalamika TRA wamempelekea kodi ya Milioni 400, unaweza kujiuliza anadaiwa milioni 400 kwa kiasi gani alichoingiza?‘

"Downloads zinazofanyika mnaweza kuona Wasanii sasa hivi wanabanwa, TRA wanatamani kuvuna kutoka kwa Wasanii kitu ambacho bado hawajakipandikiza, tumekua na ule msemo kama wa zamani kwamba shamba likiwa na bangi ni lako lakini likiwa na dhahabu ni la serikali… tunataka kuchuma kitu ambacho hatujakipanda, inabidi Serikali ianze kuwekeza na kuwajenga Wasanii kutoka shule za msingi mpaka Chuo kikuu"

Baada ya maneno hayo ya Profesa Jay kwenye video, Diamond Platnumz aliichukua video hiyo na kuandika; "Ndio Maana kwenye Jimbo lako sikuja kupiga kampeni bro…kwakuwa niliijua mapema thamani na umuhimu wa Uwepo wako kwenye hilo jengo"
Siamini
 
Acha kulialia Diamond analipwa na Vidacom, DSTV,Cocacola, GSM, , anauza nyimbo wasafi dotcom, anauza perfume moja tu 105,000 , anamiliki nyumba kadhaa bongo na south africa, magari kadhaa, show kadhaa anafanya ndani na nje ya nchi...
mkuu

Hiyo kodi ni ndogo sana kwa kipato cha diamond.

Kuhusu kutengenezewa mazingira sijui sio tija maana huku mtaani kibanda cha duka unapigwa mikodi kibaooo mara fire, mara kuzoa taka, mara Osha, n.k

Hapo bado hujaja kwa wafanyakazi kodi wanayokatwa utaliaaaa bora huyo Diamond anachezea hata hela kununua cheni ya milioni 100

Uko sawa mkuu alipe kodi tu aache kulialia tujenge uchumi wetu. Wanatumia hela hadi kufuru walipe kodi.
 
Back
Top Bottom