Diamond Platnumz ahojiwa BBC, Yupo Uingereza kwenye ziara ya vyombo vya habari

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Msanii Diamond Platnumz yupo nchini Uingereza wa ajili ya ziara ya vyombo vya habari,ambapo leo alikuwa akihojiwa na mtangazaji Salim Kikeke wa BBC Swahili

Diamond kwenye mahojiano hayo alisema skendo iliyotokea hivi karibuni kati yake na Hamisa imemuongezea mashabiki na kufanya muziki wake uuze zaidi na ulikuwa mpango wa Mungu wala hajutii

Kingine alichosema ni biashara inayomlipa kwa sasa ni ya karanga

 
Hayo mameno sijui nan alimdanganyia hayampendezi kabisa halafu yanampa shida mpaka kuongea u
 
Nami nimetengeneza njugu. Nitaibrand nikipata wateja!
 
Wakati skendo imemuongezea umaarufu, mwenzie imempandishia malaria kichwani.... Noti fea
Malaria ikipanda,ametaka mwenyewe,papa mmepeana,ilikuwa starehe ya wote,sasa mwenzio AME move on,na yeye kwanini asimove on,atafute mume mwingine,azae tena,atafute hela,aache kuwa opportunist,kutafuta pa kutokea,
Wanawake wanakera sana,nasubili mabadiriko ya sheria ya ndoa,mkiachana hakuna kugawana Mali,kola MTU na lwake,hakuna anayezuiwa kutafuta
 
Teh baba wa tatu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…