We ni ke au me. Tuanzie hapo kwanzaMsanii Diamond Platnumz yupo nchini Uingereza wa ajili ya ziara ya vyombo vya habari,ambapo leo alikuwa akihojiwa na mtangazaji Salim Kikeke wa BBC Swahili
Diamond kwenye mahojiano hayo alisema skendo iliyotokea hivi karibuni kati yake na Hamisa imemuongezea mashabiki na kufanya muziki wake uuze zaidi na ulikuwa mpango wa Mungu wala hajutii
Kingine alichosema ni biashara inayomlipa kwa sasa ni ya karanga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Wakati skendo imemuongezea umaarufu, mwenzie imempandishia malaria kichwani.... Noti fea
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] ukimfumania unambembeleza unamwambi kwa upole mme wangu nimekuja kukufuata twende nyumbani ukaoge nimekuandalia kile chakula chako pendwa.Sikuhizi ukitembea na mme wa mtu usitegemee mkewe atakususia nyumba utapambana na umalaya wako vyuma vimekaza waoaji hakuna vimebaki vi ben 10 yani ushinde kwa waganga unaroga danga mama mwenye mume ashinde kanisani kumuombea akuachie kirahisi ilikua enzi za nyerere kama anasubir zari aachike achukue kiti kabisa akae maana atachoka kusimama # chama cha wanawake walio olewa sikuizi hawabebi furushi kususia ndoa kurudi kwao wanapambana kuokoa mabwana zao mikononi mwa wadangaji #