Diamond Platnumz aibiwa Mtwara, kibaka akwapua cheni zote

Diamond Platnumz aibiwa Mtwara, kibaka akwapua cheni zote

Ubishoo ni Dar tu kwenye wanaume tata.....mikoani hakuna ubishoo. Njoo na ubishoo wako utarudi kwenu Dar ushindwe hata kukaa chini au kujisaidia haja kubwa, huku wanaume hatutaki mambo ya ukike kike. Kuna jamaa walimuona Mose Iyobo anakata mauno kwenye video amechanganikiwa na amehapa LAZIMA amshikishe ukuta kama kweli anakata mauno namna ile. Kafunga nadhili kabisa kuwa akikatiwa kiuno na Mose Iyobo atampa gunia mbili za korosho.
 
Sasa si anatembea na body guard Huyu?
 
Mgeni (Diamond) kaenda Mtwara ili wenyeji wapone.
 
Diamond kuibiwa na kutamka dhamani ya vitu alivyoibiwa nikudanganya Watanzania na pia ni kupotezea nini kinaendelea nyuma ya Pazia! Stay Tune[emoji22]
 
Yaani unamjulisha mwizi wako aliyekuibia kua vitu ulivyoniibia vinadhamani ya milioni 40[emoji1][emoji1]🤣🤣
 
Diamond kuibiwa na kutamka dhamani ya vitu alivyoibiwa nikudanganya Watanzania na pia ni kupotezea nini kinaendelea nyuma ya Pazia! Stay Tune[emoji22]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwamba jamaa alipangwaa... Hakuna hiyo pale mondi kapigwaa kweli we huoni Mood ilivyokata ghaflaa..
 
Jamaà kapangwa mda mrefu ili akwapuwe hizo macheni za kariakoo.Hivi nyie mnawajuwa WCB kwa kiki nyie wale jamaa ni KIKI CREATIVITY wanajuwa kuitumiya SOCIAL MEDIA itakiwavo
 
Ubishoo ni Dar tu kwenye wanaume tata.....mikoani hakuna ubishoo. Njoo na ubishoo wako utarudi kwenu Dar ushindwe hata kukaa chini au kujisaidia haja kubwa, huku wanaume hatutaki mambo ya ukike kike. Kuna jamaa walimuona Mose Iyobo anakata mauno kwenye video amechanganikiwa na amehapa LAZIMA amshikishe ukuta kama kweli anakata mauno namna ile. Kafunga nadhili kabisa kuwa akikatiwa kiuno na Mose Iyobo atampa gunia mbili za korosho.
Ubishoooo au njaaa hyo

Ova
 
Kama ni staged basi kachagua tittle mbaya, maana sasa Wana Ntwara a.k.a Wazee wa gesi wataonekana ni Vibaka.
Mkuu trust this shit , ile strategic kwa ukweli..jaribu kutazama body language ya Mond utaona ilikuwa kama planned iv!!!! Mi nilivyoona nikasema mond ni ana akili balaa yule jamaa!!
 
Sawa kibamia

Sent from my GT-I9505 using JamiiForums mobile app
Sina timu mkuu kama nyie MAZWAZWA,Huyo KIBAKULI na DOMO wote MAMBWIGA tu,Sio kila mtu anayemsema DOMO basi ni TIMU KIBA na Sie kila anayemsema KIBA basi ni TIMU DOMO......SINA TIMU yeyote mie ni mtu wa makavu kwa DOMO na KIBAKULI....wakifanya mazuri tunasifia wakivurunda tunawapa makavu.
 
Sina timu mkuu kama nyie MAZWAZWA,Huyo KIBAKULI na DOMO wote MAMBWIGA tu,Sio kila mtu anayemsema DOMO basi ni TIMU KIBA na Sie kila anayemsema KIBA basi ni TIMU DOMO......SINA TIMU yeyote mie ni mtu wa makavu kwa DOMO na KIBAKULI....wakifanya mazuri tunasifia wakivurunda tunawapa makavu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ova
 
basi hapo utakuta daimond alianza kumkimbiza kibaka huyo kudai cheni zake........si unajua kipindi cha mzee magu hiki hata baharesa ukimkwapua vitu atakutimulia mbio hutoamini
 
Back
Top Bottom