Vera ginger
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,458
- 1,887
Wee noma sanaSasa sijajua mimi na ww nani alikuwa anamtuka Harmonize JF,hii post yako 2016 ukimponda Harmonize anafana na Diamond,leo 2020 unamsifia sasa mimi na wewe nani mnafiki.
Sauti ya Diamond kwenye wimbo wa Dully Sykes feat Harmonize - INDE
View attachment 1389434
Kwani mondi na harmonize Ni maadui ?Jamaa ni mjanja, hapa mjifunze kuwa kupambana na adui yako si lazima utumie chuki ata upendo unaweza kummaliza kabisa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunywa maji ya kutosha Mkuu.Unafiki tu., bora liende sasa atafanyaje.
Huko siyo kupromote, ni kushare tu mara moja then it!s done !
Kwahiyo jana hakuna hat mtu mmoja wa WCB aliyepata muda wa kwenda Mlimani City kama ilivyokuwa kwenye harusi Serena.
Hakuna kitu sikipendi kama unafiki
Hahahahahahahahah Umemaliza,Kwisha habari yake......Mkuu tafuta tafuta na za Numbisa huko tuwamalize kabisa.Sasa sijajua mimi na ww nani alikuwa anamtukana Harmonize JF,hii post yako 2016 ukimponda Harmonize anafana na Diamond,leo 2020 unamsifia sasa mimi na wewe nani mnafiki.
Sauti ya Diamond kwenye wimbo wa Dully Sykes feat Harmonize - INDE
View attachment 1389434
Weka na Numbisa pleaseWewe umeyasikia yapi?
Kaelewa kama alikuwa ngazi na ndio maanda akawa fair upande wa malipo na ndio maana kapost,sasa hivi asingepost wewe ungesemaje?
Diamond kishawahi kuongea issue ya Konde kwenye chombo chochote cha habari?
Mashabiki huwezi kuwazuia kuongea Ajibu alikuwa Yanga Simba walikuwa wanamkataa ,Ajibu leo yupo Simba Yanga ambao walikuwa wanakubali leo wanamkataa.
Huyo Diamond anapondwa na kusemwa na mashabiki mara ngapi?
Team domo mshaanza kucheza uno.Hahahahahahahahah Umemaliza,Kwisha habari yake......Mkuu tafuta tafuta na za Numbisa huko tuwamalize kabisa.
Weka na Numbisa please
Naona Joseph 1989 kakuumbua ile mbaya next time uache kiherehereHaha konde Boy ni level ingine mzee pia hii album ni mpya baada ya kuhamia kwenye management mpya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona Joseph 1989 kakuumbua ile mbaya next time uache kiherehere
Hahahahahahahahah Alichokufanyia Mkuu joseph1989 lazima uje na ID mpya bado Numbisa sasa na tutazipata tu.Haha konde Boy ni level ingine mzee pia hii album ni mpya baada ya kuhamia kwenye management mpya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahahahah Alichokufanyia Mkuu joseph1989 lazima uje na ID mpya bado Numbisa sasa na tutazipata tu.
Kwahiyo chinga boy ni mtoto wa mondi?Mambo ya kawaida sana Diamond kafanya la maana sana.. Nakumbuka kipindi Lily wayne ametoka cash money walikua hawaelewani na birdman ambae ni kama baba yake kimuziki ila siku moja birdman alisema yoyote ataegombana na wizzy anagombana na mimi he's still my Son.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii si ndio kama kile kipindi ambacho Diamond alimualika
Alikiba Wasafi festival??
Attention yote ikapotea kuanzia hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
mmeumbuka, sijui utaficha wapi sura yako.Naona Joseph 1989 kakuumbua ile mbaya next time uache kiherehere
Mzee hawa watu Numbisa na Daudi Mchambuzi hujawajua tu!? hawa ni haters wa Diamond na Wcb na sio fans wa muziki wanaumia sana wanapoona Mond anafanikiwa wanatamani Leo kesho ashuke lakini waapi...walivyo wanafki sasa baada ya kuona jitihada za kumshusha kwa kumtumia Kiba zimegonga mwamba wamehamia upande wa Harmo na kujifanya kumsapoti kipindi hiki na wakati mwanzo walimponda na sasa Mind kawaumbua zaidi baada ya kuonyesha kuwa bado yupo pamoja na kijana wake kwahiyo wanachokifanya hapa ni kuanza kurushia mipira watu eti oh mlikua mnamponda Harmonize wakati wao ndio wapondaji wakubwa wa Wcb toka kipindi hiko...Sasa sijajua mimi na ww nani alikuwa anamtukana Harmonize JF,hii post yako 2016 ukimponda Harmonize anafana na Diamond,leo 2020 unamsifia sasa mimi na wewe nani mnafiki.
Sauti ya Diamond kwenye wimbo wa Dully Sykes feat Harmonize - INDE
View attachment 1389434
Hebu acha jazba za kike.Mzee hawa watu Numbisa na Daudi Mchambuzi hujawajua tu!? hawa ni haters wa Diamond na Wcb na sio fans wa muziki wanaumia sana wanapoona Mond anafanikiwa wanatamani Leo kesho ashuke lakini waapi...walivyo wanafki sasa baada ya kuona jitihada za kumshusha kwa kumtumia Kiba zimegonga mwamba wamehamia upande wa Harmo na kujifanya kumsapoti kipindi hiki na wakati mwanzo walimponda na sasa Mind kawaumbua zaidi baada ya kuonyesha kuwa bado yupo pamoja na kijana wake kwahiyo wanachokifanya hapa ni kuanza kurushia mipira watu eti oh mlikua mnamponda Harmonize wakati wao ndio wapondaji wakubwa wa Wcb toka kipindi hiko...jamii ya watu kama hawa ndio wale ambao ni wanafki na hatupaswi kuishi nao kwenye jamii yetu ya kitanzania...off course sio lazima kila mtu ampende Mond hata mm bongo Nina wasanii wangu ila sio mind na kiba lakini siwezi nkaonyesha chuki za wazi na za kichawi kwa mtu ambaye sio my favorite badala yake wakifanya mazuri huwa napongeza vilev