Usiktake kulazimisha hisia zako, anaweza asijue TZ bado akamjua D au vice versa au akawa anajua both. Hawa ni watu wa kawaida kama wewe tu wa Uyole. Nakupa hii, D anafanya kazi na Swizz beats beats ambaye ni close friend wa Kanye.
Huyu jamaa namjua hahaha kuna connection hapo huwa anafany sheli pale KiaAcheni ulimbukeni ndugu zangu swala la kupiga picha sio lazima kanye awe anamjua diamond, mfano ni huyu jamaa alipiga picha na J cole pale airport KIA jamaa wala hajulikani hata mtaani kwao kapiga picha na Cole na ikawa kawaida watanzania tusiwe washamba kiasi hiki wa View attachment 327452kuona kila kitu ni cha ajabu!
Yani hii pcha inaonekana kbsa domo kabembeleza maana huyo KAnye alivyonuna
huwa hachekagi pale anapopiga picha labda iwe ni ya kutangaza kitu fulani na inamtaka kufanya hivyoYani hii pcha inaonekana kbsa domo kabembeleza maana huyo KAnye alivyonuna
hahahahahasizani ata kama anajua kuna msanii anaitwa diamond kwanza cheki alivonuna kama kalazimishwa kupiga picha
Unakumbuka ile REMIX NAMBA ONE YA MONDI KUHUSU SISIEMU?? Iilikuwa poa sana eeeeh!
Tuliza mshono zinakuja!Mashabiki wa daimondi kama zombies ile collabo na neyo vipi he ile na psquare
Ile na davido vp au davido alistukaMashabiki wa daimondi kama zombies ile collabo na neyo vipi he ile na psquare
Sawa jamaa Ana shobo Sana Vanessa mdee kapiga picha na wakaongea nae na Kanye we unafikir kupiga picha ni ishu!!!!Ila tukumbuke kwa Psquare tilimbeza hivi hivi.Mzee wa fursa huyo. Na anajua kuwa prove watu wrong sana sana sana.