yomboo
JF-Expert Member
- May 9, 2015
- 6,225
- 4,898
Usiktake kulazimisha hisia zako, anaweza asijue TZ bado akamjua D au vice versa au akawa anajua both. Hawa ni watu wa kawaida kama wewe tu wa Uyole. Nakupa hii, D anafanya kazi na Swizz beats beats ambaye ni close friend wa Kanye.
Hahahahahahahaa ni normal people lakini wabongo ni wa hovyo hovyo