Diamond Platnumz akwaa skendo ya kuiba wimbo mpya

Diamond Platnumz akwaa skendo ya kuiba wimbo mpya

DIAMOND anazidi kudhihirisha kuwa anajificha nyuma ya wasanii wake baada ya kushindwa kutoka vizuri na wimbo mpya.

Skendo iliopo mezani Diamond ameiba wimbo wa msanii chipukizi wa NAMIBIA anaitwa King Tee Dee au KIng TD... alikuja Bongo kurekodi kwa kumshirikisha Diamond lakini alivyoondoka Diamond akautengeneza upya na kufuta vipande vya msanii huyo...
wimbo wa King Tee Dee aliutoa Februari 14, mwaka huu.
WANAMIBIA wamekerwa sana na kitendo cha Diamond kuiba wimbo wa msanii wao tena ndiyo kwanza anachipukia alikuja Bongo kuomba kolabvo.

Wameenda mbali zaidi na kusema sawaaaa msanii wao bado hajui kuimba vizuri lakini Diamond amemkandamiza kumuibia wimbo wake alioutunga yeye.
View attachment 1078415
















Huu ni wimbo wa King Tee Dee akiwa amemshirikisha Diamond siku alipokuja kurekodi Dar chini ya Podyuza wa Diamond Lizer.

View attachment 1078416
















Haya hii ni video ya wimbo mpya wa Diamond ambao katoa sauti ya King Tee Dee.

Ushauri wa buree! Si vizuri kuiba au kumnyima msanii mchanga haki zake! Hata yeye alipitia ulipotoka kwa hiyo Diamond angalia kwanza unajishushia heshima. Kwa mfano sasa hivi Wanamibia wanaponda posti zako za hii video si Youtube hadi Instagramu yako.
Wengi wanatamani uendelee kuwa juu na kutuvukisha boda lakini kama utaendelea tena mara tukisie umeiba Nigeria mara South Africa mara Marekani hatutaendelea tutaonekana hatujui.
Watch Out.

Ni mimi mwandishi burudani!

Andy Ryn
Nyimbo yenyewe mbaya,

Mwizi gani anaiba kitu kibovu namna hii?
 
Huwa namchukia mwanamke mmbeya naona ni kukosa kazi...halafu wewe ni kiume
 
DIAMOND anazidi kudhihirisha kuwa anajificha nyuma ya wasanii wake baada ya kushindwa kutoka vizuri na wimbo mpya.

Skendo iliopo mezani Diamond ameiba wimbo wa msanii chipukizi wa NAMIBIA anaitwa King Tee Dee au KIng TD... alikuja Bongo kurekodi kwa kumshirikisha Diamond lakini alivyoondoka Diamond akautengeneza upya na kufuta vipande vya msanii huyo...
wimbo wa King Tee Dee aliutoa Februari 14, mwaka huu.
WANAMIBIA wamekerwa sana na kitendo cha Diamond kuiba wimbo wa msanii wao tena ndiyo kwanza anachipukia alikuja Bongo kuomba kolabvo.

Wameenda mbali zaidi na kusema sawaaaa msanii wao bado hajui kuimba vizuri lakini Diamond amemkandamiza kumuibia wimbo wake alioutunga yeye.
View attachment 1078415
















Huu ni wimbo wa King Tee Dee akiwa amemshirikisha Diamond siku alipokuja kurekodi Dar chini ya Podyuza wa Diamond Lizer.

View attachment 1078416
















Haya hii ni video ya wimbo mpya wa Diamond ambao katoa sauti ya King Tee Dee.

Ushauri wa buree! Si vizuri kuiba au kumnyima msanii mchanga haki zake! Hata yeye alipitia ulipotoka kwa hiyo Diamond angalia kwanza unajishushia heshima. Kwa mfano sasa hivi Wanamibia wanaponda posti zako za hii video si Youtube hadi Instagramu yako.
Wengi wanatamani uendelee kuwa juu na kutuvukisha boda lakini kama utaendelea tena mara tukisie umeiba Nigeria mara South Africa mara Marekani hatutaendelea tutaonekana hatujui.
Watch Out.

Ni mimi mwandishi burudani!

Andy Ryn
Mange kasemaje?
 
Mwenye uzi instagram ndio pako huku jf hustahili kabisa
 
diamond kajibu ilo kwenye block 89 ya wasafi fm

kaseme hio ngoma ni yake na beat kagonga lizer


ila huyo dogo alifanya nae collabo n watashoot video
 
Mbona tayari amejibu kuhusu hilo kwenye interview yake ya Leo !

Amesema hiyo nyimbo ni yake na hata beat ni yake, jamaa ndiye alimuomba MONDI collaboration na tayari alikuwa na biti yake ila akamuambia MONDI kuwa anataka beat angalau inayo fanana na ile ya NITAMPATA WAPI.

Na amesema yeye ametoa hiyo video kama version tofauti na ile original ila watatoa video ya wimbo original ambao MONDI ameshirikishwa ....
 
Nzory vp upo tanga au wapi
Mbona tayari amejibu kuhusu hilo kwenye interview yake ya Leo !

Amesema hiyo nyimbo ni yake na hata beat ni yake, jamaa ndiye alimuomba MONDI collaboration na tayari alikuwa na biti yake ila akamuambia MONDI kuwa anataka beat angalau inayo fanana na ile ya NITAMPATA WAPI.

Na amesema yeye ametoa hiyo video kama version tofauti na ile original ila watatoa video ya wimbo original ambao MONDI ameshirikishwa ....
 
dogo ana maisha marefu kama msaniii.ni mshamba na fala Utandale umemkaaa mpaka ubongoni yeye na mama ake.sisi tumekulia kwa mfuga mbwa lakini tuna akili na tupo makini...soon atarudi Tandale..maaana ata madale ni mkopo
Wivu wa jikoni ni wa kise..... Kisengerema.
 
Back
Top Bottom