avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,082
- 14,457
Hajawaambia mikono juu.... kulia ....kushoto ....kulia ......kushoto?Kwa alichokifanya jana hapa Zanzibar ama kwa hakika wasanii wengine bado wana safari ndefu ya kujifunza toka kwa Diamond Platnumz aka Simba.
Kapiga show ndefu, show ya live na vibe kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa show.
Umati alokusanya ni historia Kendwa haijawai tokea.
Yani fullmoon party imegeuka kuwa Diamonds weekend.
Salute sana Simba unatupa heshma vijana wa Kitanzania.
Hata tusipo sema sasa watoto wetu watakuja kuyazungumza maajabu yako.