KiringoKaribu Zanzibar Yakheeeee. Hiyo 0715 hata Dar zimejaa sana. Tanga ndio usiseme.
Sisi ni wale tulioshindikana kwa roho mbaya na kutoamini kama mmoja wetu anaweza kutusua maishani.Hatuwezi kujifunza kwa waliotuzidi,ila tunaweza kuweka bidii na nguvu zetu zooote kuhakikisha wanaanguka na kuwa kama sisi.Ukiamua kula nguruwe usijifiche .. Tukana kwa raha zako Lakini Diamond atabaki kuwa diamond kama jina lake lilivyo.. Always learn from the best Kama huna roho ya korosho na kama wewe sio hater.. Dai is above next level
hakuna chuki hapo ni mawazo yako tuChuki ?
Ila binadamu aisehKwa alichokifanya jana hapa Zanzibar ama kwa hakika wasanii wengine bado wana safari ndefu ya kujifunza toka kwa Diamond Platnumz aka Simba.
Kapiga show ndefu, show ya live na vibe kuanzia mwanzo mpaka mwisho wa show.
Umati alokusanya ni historia Kendwa haijawai tokea.
Yani fullmoon party imegeuka kuwa Diamonds weekend.
Salute sana Simba unatupa heshma vijana wa Kitanzania.
Hata tusipo sema sasa watoto wetu watakuja kuyazungumza maajabu yako.
Na ukiandika haya huchelewi kuitwa chawa[emoji2]Sisi ni wale tulioshindikana kwa roho mbaya na kutoamini kama mmoja wetu anaweza kutusua maishani.Hatuwezi kujifunza kwa waliotuzidi,ila tunaweza kuweka bidii na nguvu zetu zooote kuhakikisha wanaanguka na kuwa kama sisi.
kwa mafanikio kupitia muziki hapa kwetu DIAMOND HAFANISHWI NA MSANII YEYOTE YULE KABISAAAA.
Na wala m si shabiki yake
Dai ni reincarnation ya Michael Jackson
Kabisa Yakheee, all the world hiyo -715 inapatikana....Watu wa Dar wanajifanya sio watumiaji, kumbe ndio walaji wakubwa wa hiyo kitu. Umesema ukweli mtupu Yakheeee.....Kwann wasema dar tu yaheee semaa all the world [emoji289] .
Sema bara uku wajifanya hawajui wkt ndio walaji kuliko nyinyii
Tumswalieee mtumee yaheeeee..
[emoji1][emoji1][emoji1]Bro tunakubaliana kwenye mambo mengi Ila hapa HAPANA [emoji23][emoji23]
Diamond ni East African King Ila Africa hajapewa hiyo title na duniani ni invisible.
Kiufupi hakuna similiarity yoyote kati yao maana ni watu wawili wenye level za kipaji na haiba tofauti kabisaaa [emoji16][emoji16]
Ukikaa Zanzibar wiki mojal tu utafuta hii mentality,Zenji ni ka nchi kakiuni kuliko maelezo hakuna cha uislam wala umakunduchi!Zanzibar si nchi ya kidini, sasa hii miziki ya kisheitwain inakuwaje ndugu yangu
Ni clip niliiona You Tube sasa uwezo wa kubishana na video clip labda unao wewe, mimi si mbishi kiasi hicho.Na wewe uka amini?
Haters are pretending not to understand what you meant.Kuna Reincarnation na kuna kufananisha hivi ni vitu vi wili tofauti
Sorry to/for them [emoji57]Haters are pretending no to understand what you meant.
ile program yao ya kuzuia wadau wasile ramadhan kwa lazima huwa inasimamiwa effectively ?Ukikaa Zanzibar wiki mojal tu utafuta hii mentality,Zenji ni ka nchi kakiuni kuliko maelezo hakuna cha uislam wala umakunduchi!
Hii ngoma kuiangalia haiishi hamuDai ni reincarnation ya Michael Jackson
Show off kivip anaanzaje huku anadai hana rafiki au unamaanisha ninyi mnaomshobokea huku yeye akiwa hana time na nyie?akili za kijinga sana hizi!Hata kiba hua anajaza sana nyomi sema hapendi show off
Nchi ya kidini inaongozwa na ccm?Zanzibar si nchi ya kidini, sasa hii miziki ya kisheitwain inakuwaje ndugu yangu