Kausha damu
Member
- Jul 24, 2016
- 7
- 6
Tusubili mda ndo kila kitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂 Mzee una chuki za waziwazi subiri akuimbie harmonize usifieHiyo nyimbo ni wasted sperm kama walivyoiita japo kala shavu
Sasa ukisema inaonekana chuki mm nnefurahi kuona jamaa kapewa shavu😂😂😂😂 Mzee una chuki za waziwazi subiri akuimbie harmonize usifie
Comment yako inaashiria mambo mawiliNew member unajifanya unajua jua watu .
Kwahiyo diamond aliperfom kombe la dunia kama alivyosema?
pancho boy Kupewa kipande kidogo haimanishi ndio kuimba vibaya ila umetumiaje hiyo sekunde uliopewa kuimba kwenye wimbo hiko ndio watu wanachopima.Hiko kipande diamond kaitendea haki kwanza kaimba kwa sauti nzuri Melody Kali ndio maana watu wanamsifia na moja Kati ya watu waliguswa Ni patoranking amemsifia Sana hiko kipande alichoimba diamond nashangaa Sana unakuja hapa kuleta uteam wako Mara ya kwanza Nilizani ni mtu ambaye unapenda good music kumbe la hasha!Sasa ukisema inaonekana chuki mm nnefurahi kuona jamaa kapewa shavu
Ila hiyo wasted sperm haijaeleweka kaimba kidogo mwishoni
We Si chawa wa wcb mzee hahah
Jick umemaliza kila kitu huyo jamaa atakuwa na agenda nyingineComment yako inaashiria mambo mawili
1. Hujui unachokiongea.
2. Unajua unachokiongea ila kwa makusudi kabisa umeamua kuonesha ule moyo wa korosho(wivu wa kutopenda maendeleo ya wengine). kuna kundi kubwa Watanzania wana tabia kama hii.
Mbona wale wa kusema freemason hawakomenti leo?Habari nzuri,
Msanii wetu wa Tanzania Diamond Platnumz atakuwepo kwenye moja ya collabo ilipo kwenye album mpya ya Alicia Keys.
Alicia Keys amethibitisha hivyo kwa kuonesha list ya nyimbo zitazokuwepo kwenye album yake hiyo mpya na moja Kati ya nyimbo ipo aliyomshirikisha Diamond.
Tumekuwa tukizoea baadhi ya Wasanii wa Bongo kama AY na Diamond kufanya collabo na American artist lakini Safari hii Diamond ndio kashirikishwa.
Mkuu Kwan kafnyajeKushirikishwa gani huku????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hunijui bro nadhani wewe ndo hujui muziki mzuripancho boy Kupewa kipande kidogo haimanishi ndio kuimba vibaya ila umetumiaje hiyo sekunde uliopewa kuimba kwenye wimbo hiko ndio watu wanachopima.Hiko kipande diamond kaitendea haki kwanza kaimba kwa sauti nzuri Melody Kali ndio maana watu wanamsifia na moja Kati ya watu waliguswa Ni patoranking amemsifia Sana hiko kipande alichoimba diamond nashangaa Sana unakuja hapa kuleta uteam wako Mara ya kwanza Nilizani ni mtu ambaye unapenda good music kumbe la hasha!
Hunijui nafikiri nna uelewa wa mambo haya muziki more than you thinkComment yako inaashiria mambo mawili
1. Hujui unachokiongea.
2. Unajua unachokiongea ila kwa makusudi kabisa umeamua kuonesha ule moyo wa korosho(wivu wa kutopenda maendeleo ya wengine). kuna kundi kubwa Watanzania wana tabia kama hii.
Yani kasema vimaneno viwili sijui mwishoni kabisaa...dharau hiziiiii!! Alicia Keys mwenyewe ashachokaaa na gameMkuu Kwan kafnyaje
Nimeshangaa sana sijui kaimba au kamalizia wimboKushirikishwa gani huku????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wamarekan wanadharau kwa waafrika hatari uliona Yale drake aliomfanyia wizkid?Yani kasema vimaneno viwili sijui mwishoni kabisaa...dharau hiziiiii!! Alicia Keys mwenyewe ashachokaaa na game