Tetesi: Diamond Platnumz ampeleka Ommy Dimpoz polisi

Tetesi: Diamond Platnumz ampeleka Ommy Dimpoz polisi

kumtukana mzazi wa mwenzio ni ukosefu wa adabu na sio maadili yetu ya kitanzania na ahta kuna faragha waliifanya haipaswi kuweka hadharani
 
Hahaha imemuuma Diamond hadi amekimbilia kwa kamanda Mambosasa.

Hamna kesi hapo, siri ya chumbani hiyo.
 
Japo Ommy alipitiliza kwa kumsema vibaya mzazi wa Diamond, ila angeacha lipite maana ugomvi aliuanzisha yeye.
What if naye akimshataki kwa kumwita shoga?
Ukianzisha ngumi ukapigwa panga la kalio usilalamike maana hatupangiani silaha
 
Tatizo la Domo ni selfish, hataki wala hapendi azungumziwe mtu mwingine kwenye industry ya mziki
 
ommy dimpozi ameshikiliwa zaidi ya masaa matano leo baada ya mashtaka aliofunguliwa na diamond kwa kusema alimgegeda maza wa taifa
wadau wamekuja juu sana huko mitandaoni na haya ndo maoni yao
Sasa diamond amshitaki ommy kwa ile picha alipost mamake mxeeew .
  • mbitegekoHuu Ugomvi ushakuwa beyond Limit sasa ni chuki tupu
  • asianooor2Na hamisa pia akashitaki alimuita bitch
  • balafu_ya_moyo_wanguMangapi yeye amesha tukana wenziye mbona hawaja msitaki? Kweli naamini Kama sikuzote ukweli unauma mkini wakufikiria @di more
  • neemashija96mkuki kwa nguruwe ye alivyomwambia mwenzie ana pumuliwa je angeshitakiwa nawe ndo maana mwenzie kamuonyesha kuwa yuko f more
  • khadija.bagakamuonea tu...yy kila kukicha anatukana watu...mara mbichi
  • vincycai6145Diamond thinks he above the law in Tanzania. If Tanzanian police even bother with this bullshit. Then we know how corrup more
  • cathy_msoffeMond anaanguka kisanaa hivyo, yy hodari kutukana wenziye yy akiguswa anakimbilia polisi. Km mwanamke!! Sura mbaya roho m more
  • mamkweonfleekNyuchi za wadada zinamlaani. Laana ya kukataa mtoto na kukimbilia kulea wa marehemu zinamuandama. Laana za baba yake zin more
  • saminatazOmmy pia ashitaki diamond kwa kumtusi na kumuita shoga, hizo ni accusation kama diamond hana evidence, awekwe ndani for more
  • ___aleemhumu wengi mlifurahiaa mam kudhalilishwa dAh so mama akishtak kudharirishwa mnamind mond watz mko vip
7 hours ago
Hao wanaomponda Dai kisa kamfungulia kesi ya udhalilishaji Ommy Dimpozi naona hawana akili timamu.

Bahati nzuri polisi huwa wanasikiliza pande zote mbili bila ya ubaguzi.

Hao wanaodai Dai alikuwa anawatukana kwa nini na wao wasifungue kesi kama ushahidi wanao?

Namuunga mkono Diamond ,amshikishe adabu huyo dimpozi.
 
Jamani nijuavyo hakuna Mahali Diamond Kamtaja Jina Mtu. Ila kupost maneno machafu na picha ya mama wa mtu aisee....
Halafu watu wanampiga Tundu Lisu risasi wakati kuna hawa wanaachwa achwa tuu wanasavaivu!
 
Madhara ya kuendekeza kiki....

Wapumbavu wote..
 
Kumuingiza MAMA ktk kiki na maugomvi a ya kijinga...ilikua extreme.

Lakini kila siku tunasemahapa.

ELIMU ELIMU ELIMU......
 
ommy dimpozi ameshikiliwa zaidi ya masaa matano leo baada ya mashtaka aliofunguliwa na diamond kwa kusema alimgegeda maza wa taifa
wadau wamekuja juu sana huko mitandaoni na haya ndo maoni yao
Sasa diamond amshitaki ommy kwa ile picha alipost mamake mxeeew .
  • mbitegekoHuu Ugomvi ushakuwa beyond Limit sasa ni chuki tupu
  • asianooor2Na hamisa pia akashitaki alimuita bitch
  • balafu_ya_moyo_wanguMangapi yeye amesha tukana wenziye mbona hawaja msitaki? Kweli naamini Kama sikuzote ukweli unauma mkini wakufikiria @di more
  • neemashija96mkuki kwa nguruwe ye alivyomwambia mwenzie ana pumuliwa je angeshitakiwa nawe ndo maana mwenzie kamuonyesha kuwa yuko f more
  • khadija.bagakamuonea tu...yy kila kukicha anatukana watu...mara mbichi
  • vincycai6145Diamond thinks he above the law in Tanzania. If Tanzanian police even bother with this bullshit. Then we know how corrup more
  • cathy_msoffeMond anaanguka kisanaa hivyo, yy hodari kutukana wenziye yy akiguswa anakimbilia polisi. Km mwanamke!! Sura mbaya roho m more
  • mamkweonfleekNyuchi za wadada zinamlaani. Laana ya kukataa mtoto na kukimbilia kulea wa marehemu zinamuandama. Laana za baba yake zin more
  • saminatazOmmy pia ashitaki diamond kwa kumtusi na kumuita shoga, hizo ni accusation kama diamond hana evidence, awekwe ndani for more
  • ___aleemhumu wengi mlifurahiaa mam kudhalilishwa dAh so mama akishtak kudharirishwa mnamind mond watz mko vip
7 hours ago
Hongera mkuu maana naona umechambua tu comments zinazomponda D Platnumz
 
ommy dimpozi ameshikiliwa zaidi ya masaa matano leo baada ya mashtaka aliofunguliwa na diamond kwa kusema alimgegeda maza wa taifa
wadau wamekuja juu sana huko mitandaoni na haya ndo maoni yao
Sasa diamond amshitaki ommy kwa ile picha alipost mamake mxeeew .
  • mbitegekoHuu Ugomvi ushakuwa beyond Limit sasa ni chuki tupu
  • asianooor2Na hamisa pia akashitaki alimuita bitch
  • balafu_ya_moyo_wanguMangapi yeye amesha tukana wenziye mbona hawaja msitaki? Kweli naamini Kama sikuzote ukweli unauma mkini wakufikiria @di more
  • neemashija96mkuki kwa nguruwe ye alivyomwambia mwenzie ana pumuliwa je angeshitakiwa nawe ndo maana mwenzie kamuonyesha kuwa yuko f more
  • khadija.bagakamuonea tu...yy kila kukicha anatukana watu...mara mbichi
  • vincycai6145Diamond thinks he above the law in Tanzania. If Tanzanian police even bother with this bullshit. Then we know how corrup more
  • cathy_msoffeMond anaanguka kisanaa hivyo, yy hodari kutukana wenziye yy akiguswa anakimbilia polisi. Km mwanamke!! Sura mbaya roho m more
  • mamkweonfleekNyuchi za wadada zinamlaani. Laana ya kukataa mtoto na kukimbilia kulea wa marehemu zinamuandama. Laana za baba yake zin more
  • saminatazOmmy pia ashitaki diamond kwa kumtusi na kumuita shoga, hizo ni accusation kama diamond hana evidence, awekwe ndani for more
  • ___aleemhumu wengi mlifurahiaa mam kudhalilishwa dAh so mama akishtak kudharirishwa mnamind mond watz mko vip
7 hours ago

Sasa akimpeleka huko Polisi ndiyo kutaondoa ile ' kumbukumbu ' kwamba Ommy Dimpoz ' alitiririka ' na ' kuserereka ' Kibaiolojia na ' Mazeri ' wake Ndomo?
 
kwani kuna kosa gani dimpoz kafanya?kama kamgonga kweli sandra kuna ubaya gani?angekuwa amebakwa hapo sawa na kiuhalisia dimpoz hawezi kumsingizia yule mama, mama kataka dude na mauno kakata afu mtoto analeta mdomo wake mchafu
 
HAKUNA ASIEJUA KAMA OMMY DIMPOZ NI SHOGA.NA KAMA HUJUI BASI SUBIRI SIKU AINGIE KWENYE 18 ZA MANGE.KUNA PICHA NA FULL VIDEO ZA OMMY AKILIWA KIBOGA UK.
Maadili ya jamii forum hayaruhusu video hizi
 
Back
Top Bottom