my name is my name
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 2,016
- 2,397
yaani domo huwa simkubali mno. manyimbo yake yameharibu hadi vichwa vya watoto, ushetani tu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwahiyo HARMONIZE alivyonenepa anamuiga PETER MSECHU
Wapeleke kanisani au msikitini, inategemea na dini yako.yaani domo huwa simkubali mno. manyimbo yake yameharibu hadi vichwa vya watoto, ushetani tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo HARMONIZE alivyonenepa anamuiga PETER MSECHU
[emoji1][emoji1][emoji1] alaf na ule ufupi kawa kama furushi la mihogoKwahiyo HARMONIZE alivyonenepa anamuiga PETER MSECHU
Anaimba mijitusi bana,sogea huko!!sledi inahusu ndevu mkuu sio manyimbo yake
[emoji23][emoji23]sledi inahusu ndevu mkuu sio manyimbo yake
[emoji23]Ama kweli akili ni nywele kila mtu ana zake. Kumbe hata mimi nikifuga ndevu nitakuwa nimemuiga rick ross. Itakuwa na fid q kaiga
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwahiyo HARMONIZE alivyonenepa anamuiga PETER MSECHU
Huyu Rick mbona kakondeana sanaHuyu bwana wa kuiga iga hakimpiti kitu π ati na yeye ameamua kudunduliza vindevu vyake ili awe kama Rick Ross ( rich forever). Basi kwa vile anafuga vindevu mda si mrefu ataanza kujitangaza amekua tajiri zaidi ya Bill Gates π
Picha ya chini ni diamond platnumz akiwa na muonekano mpya wa kirich forever
Picha za chini ni rich forever akiwa na mwanamitindo hamisa mobetto huko dubai
View attachment 2038398View attachment 2038399