Diamond Platnumz amuiga Rick Ross kufuga ndevu

Diamond Platnumz amuiga Rick Ross kufuga ndevu

Ila mond anasura mbaya nomaa hahaha yani mbaya na midevu hiy yan m baya sana kufanana na Braza wake hapa[emoji116][emoji116][emoji116]
JamiiForums390048234.jpg
 
Diamond platnumz nasikia gari limewaka. Dar es salaam sio sehemu nzuri ya kuwa na pesa, lazima uharibu tu. Kama unabisha niulize mimi
Kashaanza kuwa mjunki nae😅 anasniff ngano?
 
hivi huyu jamaa ana umri gani?au amevalishwa rusa ya uzee na wachawi?
Huyu jamaa mpaka sasa hatuelewi anaumri gani? Ila kwa kukadili kwenye sitini hivi au 30 kwakweli hatyumuelew ngoja tumuulize kwanza nape mana walicheza wote [emoji12][emoji12][emoji12]
 
Mkuu mwanaume sura nzuri ya kazi gani ? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Dah mkuu hata kama ila mond wa sasa kanyata sana urafikir hana hela sura ngumu tuwe nazo kama sis wabeba zege mkaa nk mana kipato hakiruhusu had yy[emoji14][emoji14][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom