Diamond Platnumz anawadanganya wafuasi wake eti wimbo wake unaongoza UK!


Nilipoona hii picha nimeshtuka nikidhani Harmorapa ameshatoboa mpaka kwa Ne-Yo,nilipotuliza akili ndio nikagundua ni Diamond.
Hahahah
Utafiti unasema wanawake wembamba ambao almost ni flat screen uwezo wao wa kufikiria ni mdogo....Sijui utafiti huu una ukweli naomba kuwasirisha
 
Utafiti unasema wanawake wembamba ambao almost ni flat screen uwezo wao wa kufikiria ni mdogo....Sijui utafiti huu una ukweli naomba kuwasirisha
Utafiti huo una ukweli kabisa mkuu,ila mwenye uwezo mdogo zaidi wa kufikiri ni yule anayehangaika na yale yaliyosemwa na mwenye uwezo mdogo wa kufikiri [emoji4].
 
nasikia pia kule ukerewe kunaitwa uk
 
Uzuri siku hizi wanadanganywa wapuuzi tu... Mambo yote kiganjani.
 
Ukonga hiyo.

Jana nilipita kule mitaa yote hiyo ngoma inatamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…