Utafiti unasema wanawake wembamba ambao almost ni flat screen uwezo wao wa kufikiria ni mdogo....Sijui utafiti huu una ukweli naomba kuwasirisha![]()
Nilipoona hii picha nimeshtuka nikidhani Harmorapa ameshatoboa mpaka kwa Ne-Yo,nilipotuliza akili ndio nikagundua ni Diamond.
Hahahah