Diamond Platnumz anaweza kuziba pengo la Kanumba akiwa muigizaji pia

Diamond Platnumz anaweza kuziba pengo la Kanumba akiwa muigizaji pia

Jana nilicheki ile video yake ya Zuwena, Diamond Platnumz anaweza kiukweli sio kuimba tu Diamond ni muigizaji mzuri tu tena mbunifu saana.

Kama kuna watu ambao wako karibu naye wa mshauri afanye filamu ya huu wimbo wa Zuwena na amini anaweza pia kuamsha bongo movie na pia anaweza kupata pesa nyingi.

Na yeye sio kwamba ndio atakuwa msanii wa kwanza kufanya hivyo 20% alifanya hivyo, Papa Wemba alifanya hivyo kwa wimbo wake La vie est belle.

Naomba afanye hivyo kwa faida ya Bongo movie pia
Kwa mtazamo wangu, watanzania tunakalili ila siku hizi kuna waigizaji kanumba haoni ndani.
Mfano yule jamaa anaigiza juakali kama luka, ni moto wa kuotea mbali kuanzia kuigiza hadi facial expressions zake zinaendana na anachoigiza. Kuna Mimi Mars, yule binti nadhani ana kipaji kikubwa cha kuigiza kuliko hata kuimba. Yule binti ni moto wa kuotea mbali kabisa.
Kanumba alikuwa mzuri zama zake ila waigizaji wazuri wapo kwa sasa.na siku hizi naona watu wameinvest sana kwenye tamthlia naona tasnia inakua sana. Dstv wanamwaga pesa sana
 
Diamond linakipaji Cha kuect movies jamaa linajua kuect kuliko kuimba, Yani ukicheck kwenye nyimbo zake anavoect anapatia sana mfano, nyimbo ya ukifika salama utukumbuke na sisi Ile ya uwadanganye watoto na vibagia , Ile ya kitoronto hey thooooomas, yatapita na zuwena, huyu jamaa anajua kuect, ajaribu na bongo movies atatoboa zaidi
Sasa atoboe mara ngapi.
 
Jana nilicheki ile video yake ya Zuwena, Diamond Platnumz anaweza kiukweli sio kuimba tu Diamond ni muigizaji mzuri tu tena mbunifu saana.

Kama kuna watu ambao wako karibu naye wa mshauri afanye filamu ya huu wimbo wa Zuwena na amini anaweza pia kuamsha bongo movie na pia anaweza kupata pesa nyingi.

Na yeye sio kwamba ndio atakuwa msanii wa kwanza kufanya hivyo 20% alifanya hivyo, Papa Wemba alifanya hivyo kwa wimbo wake La vie est belle.

Naomba afanye hivyo kwa faida ya Bongo movie pia
Mnamuingiza Chaka Sana mziki unalipa kuliko hyo bong movie yenu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Jana nilicheki ile video yake ya Zuwena, Diamond Platnumz anaweza kiukweli sio kuimba tu Diamond ni muigizaji mzuri tu tena mbunifu saana.

Kama kuna watu ambao wako karibu naye wa mshauri afanye filamu ya huu wimbo wa Zuwena na amini anaweza pia kuamsha bongo movie na pia anaweza kupata pesa nyingi.

Na yeye sio kwamba ndio atakuwa msanii wa kwanza kufanya hivyo 20% alifanya hivyo, Papa Wemba alifanya hivyo kwa wimbo wake La vie est belle.

Naomba afanye hivyo kwa faida ya Bongo movie pia
Diamond ana vipaji vingi sana
 
Hakuna kama kamumba hata na appearance ya kanumba illikuwa mzuri huyu dai atasubiri sana mvuto hana
 
Kuna Jambo msela anatuletea sema Nini tuicheki TU kwa jicho la kiburudani

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app

Haswa, na ni kuhusu kinachoendelea sasa.(sio wote wataelewa alichomaanisha)

Kawasilisha ujumbe kwa fumbo ambalo kirahisi huwezi elewa, wengi wamechukulia Zuwena juu juu.

Ila imebeba ujumbe mzito mnoo, kongole kwake ndugu Nasib🫡
 
Haswa, na ni kuhusu kinachoendelea sasa.(sio wote wataelewa alichomaanisha)

Kawasilisha ujumbe kwa fumbo ambalo kirahisi huwezi elewa, wengi wamechukulia Zuwena juu juu.

Ila imebeba ujumbe mzito mnoo, kongole kwake ndugu Nasib🫡
Duh Safi. But dhambi pengine kujaribu kufumbua fumbo hili

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
 
Haswa, na ni kuhusu kinachoendelea sasa.(sio wote wataelewa alichomaanisha)

Kawasilisha ujumbe kwa fumbo ambalo kirahisi huwezi elewa, wengi wamechukulia Zuwena juu juu.

Ila imebeba ujumbe mzito mnoo, kongole kwake ndugu Nasib🫡
Acheni uongo, kila neno linaweza kuleta mahana tofauti kama ukiamua kulitafsiri unavyotaka wewe. Ila nyimbo ya Zuwena haina tafsiri hiyo mnayotaka kutuaminisha.
 
Back
Top Bottom