Diamond Platnumz anunua ndinga mpya kama ya Ronaldo

Hilo gari mbona mim nilikua nalo 5 yrs back.nikauza,nyie mnashangaa leo
 
We na elimu yako imekufikisha wapi?
Kaingia kwenye mziki kakuta kuna watu wanafanya mziki wakiwa na degree zao yeye hata secondary hakumaliza lakini amegeuka kuwa role model wao.
Kumbe ujanielewa,naposema kuwekeza kwenye Elimu sio kujiendeleza Bali ni kufungua shule au chuo cha muziki.
 
We na elimu yako imekufikisha wapi?
Kaingia kwenye mziki kakuta kuna watu wanafanya mziki wakiwa na degree zao yeye hata secondary hakumaliza lakini amegeuka kuwa role model wao.
Kumbe ujanielewa,naposema kuwekeza kwenye Elimu sio kujiendeleza Bali ni kufungua shule au chuo cha muziki.
After all sio role model wangu,role model wangu ni Issa Shivji,Jakaya Kikwete na the like.
 
Piga picha na magari ya watu vita na gwanjima hiviwezi wewe mtoto mdogo sana acha malumbano utapotea tukusahua
 
Wabongo wanafiki sana, unarusha dongo kwa mwanaume mwenzio wakati wewe hata baiskeli ya kuazima tu huna.
Mnafiki ni were usiyejua nilimaanisha nini.
Kwa taarifa yako sifanyi mashindano Bali naibua ajira ili niwasaidie wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…