mwamgongo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 483
- 408
hata waliosoma wanatafuta pesa, ndo maana wasomi wengi wanahesabu tarehe za mishahara na kusubiri kukopa hata pesa ya kula.......unaringia elimu bongo nakati upo na kidegree chako umekwama na unaona hakina tija. pesaKwani MTU anasoma ili aweje?na je kama akili ni za kuunga kibashite bashite alazimishe? Kajitahidi kujua lugha, kuhesabu hela + kipaji na vinampa kipato cha kutosha iliyobaki ale maisha tu hakuna haja ya kuangaika na shule.