Mara nyingi mkioneshwa mnapiga kelele eti tunaringa na kujidaiHuo unaitwa W I V U Basi kanunue yako Oystebay Au Masaki halafu njoo JF utuoneshe utajiri wako.
Nyie ndio bado mnakaa Kwa bibi zenu Halafu midomo mireeeeeeeeefu.
Ziko wapi?? Kama haka kauchafu kakirusha kwenye mitandao unafikiri hizo nyingine angeshindwa..Uliza uambiwe. Diamonds ameinvest sana kwenye real estate, ananyumba nyingi amepangisha. Si bure na hii amenunua ili aipangishe.
Angekuwa na nyumba nyingine zaidi ya hizo mbili lazima angewarushia... Si unaona kale kabanda kale kule porini anavyokirusha na anakiita Ikulu.. Huyu dogo mnavyomzania sio kabisa...Loh, do you know how many houses Diamond owns? Just because he has posted this one does not mean ndio anaanza. Embu ulizeni muanmbiwe. Hao akina Jux ni mziki tuu ndio umewalipa? Huyo Jux unaeza ukute anahekalu but thats all he has. Diamond ukijumlisha all his investments hao wenye mahekali hawamfikiii.
Kuifanya ofisi?? Asije akaweka wale wastedishoo wake hapo wakapiga kelele... Kuna fogo wa TRA hapo jirani yake atamwamisha mara mojaMkuu Kuna watu wanajifanya wanajua kuuliko aliefanya, Diamond tayari anayo nyumba anaishi, hakuna anaejua lengo la kuinunua hiyo nyumba. Anataka kuweka ndugu zake, kupangiasha, kuifanya ofisi ama nini.
Hawezi kujua yote hayo.. Yeye anajua kukata viuno tu.. Si unaona hata gari yake ya kutembelea alafu anayo moja tu.. Kuna siku nilimkuta nayo Mwenge Garage nilimshangaa sana.. Dogo ana vijihela ila ni mshamba big timesI expected him to buy a plot and get a designer, actectual, mason and gardern designer to go do the job. Unanunua vililivyopo kama kwamba upo Europe??? Bado tuna Ardhi na ruhusa ya kujenga mwanangu. Design your own house na acha marangi ya nussery school.
Kwa brand name yake anaweza kwenda kamata hata ufukwe kule Mtwara akaweka Hotel na Amazement Park ya maana akapiga mihela... Tatizo mshauri ni mama yake nae anamshauli kununua vibanda sinza na magomeni..Huyu bwana ana mkwanja afu hautumii vizuri... Muda umefika sasa kufanya biashara hivi vibanda vinatosha
Am not even going to argue this with you. You clearly dont have any clue about his investments. You are just hating and I dont bother with haters.Angekuwa na nyumba nyingine zaidi ya hizo mbili lazima angewarushia... Si unaona kale kabanda kale kule porini anavyokirusha na anakiita Ikulu.. Huyu dogo mnavyomzania sio kabisa...
Hate?? For what?? I'm neither his competitor nor we share any competitive advantage.. I'm on different field from him, he make his living through music and I make mine from my own other sources.. And actually I'm not a fan of any musician in Tanzania... To say he don't have any housing investment its that that.. Mbona kawekeza kwingine na tunajua kwakuwa huwa anatangaza wazi na wapambe wake wanakuja kuback up humuAm not even going to argue this with you. You clearly dont have any clue about his investments. You are just hating and I dont bother with haters.
Actually niliandika sababu nilijua huyu ni mtu mashuhuri ila niseme ukweli sijui yeye ni nani na ana hali gani. Nimemsoma kuwa ni mpenzi wa Wema Sepetu halafu eti ni ndugu na mzee wa msoga mi sijui ila nilishangaa mtu kununua nyumba tena ina rangi za nursery school ndo nikacomment. Kwani ana nini? He is not of my age and carriber may be that is why. Nipe King kiki, na marehemu Maneti hao ndo saizi zangu.Hawezi kujua yote hayo.. Yeye anajua kukata viuno tu.. Si unaona hata gari yake ya kutembelea alafu anayo moja tu.. Kuna siku nilimkuta nayo Mwenge Garage nilimshangaa sana.. Dogo ana vijihela ila ni mshamba big times
Ni chokoraa mmoja hivi watoto wa uswazi ndio anawa inspire sana na ni kama Mungu waoActually niliandika sababu nilijua huyu ni mtu mashuhuri ila niseme ukweli sijui yeye ni nani na ana hali gani. Nimemsoma kuwa ni mpenzi wa Wema Sepetu halafu eti ni ndugu na mzee wa msoga mi sijui ila nilishangaa mtu kununua nyumba tena ina rangi za nursery school ndo nikacomment. Kwani ana nini? He is not of my age and carriber may be that is why. Nipe King kiki, na marehemu Maneti hao ndo saizi zangu.
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Umasikini jamani nikitu hatari sana ktk maisha ya Mwanadam. Hi inadhihirika ukisoma huu uzi. Wakati wanamziki wenye mafanikio wakinunua mahekalu ya hatari kwenye miji mikuu sisi mwanamziki kanunua nyumba kajamba nani inaonekana bönge la tajiri. Kama kidume akanunue nyumba Oysterbay uje ulete uzi hapa. Umasikin hatutaki.
Aiseeeee!yani kwa haraka haraka sijaipenda ramani yake hyo nyumba
[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] utukome[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]
hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wow kwa hyo watadai bilioni yao!!!?Nasikia voda watamfurumusha kwenye matangazo yao kwa ku abuse wanawake!