Diamond Platnumz anyakua tuzo 3 AFRIMA, Vanessa Mdee aleta Moja nyumbani

Diamond Platnumz anyakua tuzo 3 AFRIMA, Vanessa Mdee aleta Moja nyumbani

Hizo tuzo za vichochoroni na kuhonga hazimsaidii chochote,,Hata wanaigeria hawana habari nazo..Diamond ameshachuja kimziki,,

Za vichochoroni afu mkashinda ucku kucha mnavote, Angepata kiba izo tuzo zingekua za ikulu
 
Hii ni hat trick ya 2 ya international kama sikosei ndani ya mwaka huu chibu anapiga

True, na kwa muda wote Hii ni ya tatu

1. Channel O music awards 2014 (3)
2. African magazine music awards 2015 (3)
3. All Africa music awards 2015 (3)

Probably mwanamuziki mwenye hattrick nyingi zaidi Afrika.. tuzo za pombe hapo alipiga tatu 2010, 2012, na 2014..

Mtu mbaaaya sana huyu..
 
Huyu nae apumzike kwakweli mana mpaka nimesahau huu mwaka peke ake amechukua tuzo ngapi hahhahha wengine wamekosa tuzo wamezawadiwa viatu vya mpira njumu kweli ronaldo mwendo wa 3
 
Hongera sana sana Chibu aka Baba Tiffah aka Mume wa Zari. Busu mingi

1447656683943.jpg

15.11.2015 from diamondplatnumz - Earlier today when i was receiving my trophy from Africa Youth Choice Awards @Ayca_Africa
athe the ARTIST OF THE YEAR... thanks alot my Fans for the Votes this is for you!!... Can't wait for my Performance tonight at @afrimawards Where are my Naija fans at ?? please tag them🙏
(Mapema leo nlipokuwa napokea tunzo yangu niloshinda Nchini Nigeria kama Msanii bora wa Mwaka Africa kwenye tunzo ziitwazo "CHAGUO LA VIJANA AFRICA @Ayca_Africa Usisahau pia kijana wako usiku wa leo ntakuwa nakuwakilisha kwenye Tunzo za @afrimawards hapa Nigeria)
 
Pongezi za dhati kwa Queen wetu, Vee mtonyo, Vanessa mdee - Best African pop song "Hawajui"

Step nzuri na hii ni tuzo yake ya tatu internationally bado tunasonga mdogo mdogo..

Anachonifurahisha zaidi ni kuzidi kuwaproove wrong wanaoamini management ndio kila kitu.. Mafanikio yote haya aliyonayo huyu mtoto mzuri, anajisimamia yeye mwenyewe kazi zake, yeye ndio msanii na yeye ndio manager kazi zote anazifanya na anajimudu vilivyo.. BIG UPS!!
 
Nasema nawe bonge moja la dude, sema tu kwa Tanzania mziki wa mduara haukubaliki kiivo na hata kukiki kwake ilikuwa kwasabababu aliimba diamond.. Ila kwa wenzetu ulisumbua sana charts za redio kubwa hdi kitaa, ni vile tu video yake haikuwa na quality kiivo isumbue video charts..

Ila amebebea tuzo hiyo ni nyimbo ni toshaaaaaaaaaaa

Oyeeeeeeee
 
Huyu nae apumzike kwakweli mana mpaka nimesahau huu mwaka peke ake amechukua tuzo ngapi hahhahha wengine wamekosa tuzo wamezawadiwa viatu vya mpira njumu kweli ronaldo mwendo wa 3
Teh Teh......
Huyu nae apumzike kwakweli mana mpaka nimesahau huu mwaka peke ake amechukua tuzo ngapi hahhahha wengine wamekosa tuzo wamezawadiwa viatu vya mpira njumu kweli ronaldo mwendo wa 3
 
Majitu yamevimba mpaka yanakaribia kupasuka.
 
Eti ooh muziki wangu mkubwa kuliko tuzo mbona ulikuwa unawaambia mashabiki wako wakupigie kura ?????
 
DIAMOND wewe jamaa umeshindikana hongera sana sana sana.
 
Ana tuzo zaidi ya 40 kwa miaka 5 ya uwepo wake ktk muziki je akifikisha miaka aliyopo huyu mlinzi wa fisi si atakuwanazo zaidi ya 100.
 
hongera zako dogo mond bin laden huna mpinzani fudenge kibakuli kaogopa kuja akijua haambulii kitu mbele ya mafia mond bin osama
 
Ana tuzo zaidi ya 40 kwa miaka 5 ya uwepo wake ktk muziki je akifikisha miaka aliyopo huyu mlinzi wa fisi si atakuwanazo zaidi ya 100.

Na hapa ndio kwanza ameanza yanii,

Mtu mbaaya sana huyu kwa mwaka huu tu pekee anatuzo 15 za kimataifa ukijumuisha na 3 za bongo jumla 18 na bado mwaka haujaisha hahahah bado headies, future, kora, legend music awards, na nyinginezo... anaweza akafika 25..!!
 
Hahahahahaha watu wanamaneno sana

""Eti king kiba alivyoshinda tuzo za pombe tu aliweuka picha milioni na akazunguka na daladala dar nzima, Siku akija kushinda MTV anaweza akaenda kigoma ya mguu hahahaha""

Utani tu lakini wenye kiminyio cha ukweli kwa mbaaaaali.. pwilo cute b K 4 LIFE nifah video yetu ya nagharamia inatoka lini?
 
Last edited by a moderator:
attachment.php


Chibu katika ubora wake!!!

Tuzo alizoshinda ni...

1. Mwimbaji bora wa Afrika
2. Mwimbaji bora wa Afrika Mashariki
3. Wimbo bora Afrika (Nasema Nawe)

Vanessa Mdee amenyakua tuzo ya Best Artist in African Pop

Keep it up Son:thumbup:
 
Back
Top Bottom