Diamond Platnumz apewe shahada ya falsafa ya heshima

Diamond Platnumz apewe shahada ya falsafa ya heshima

Kuna school of thought kwamba kazi za Mondi zimeajiri vijana wengi kwenye vibanda vya kuuza kazi zake, Ma-DJ wenye vyombo vya muziki nk. Eti mapato ya makundi haya toka kwa baadhi yao ndiyo matoleo kwenye majumba wakfu (nyumba za ibada). Kumbe basi karama ya Mondi imetambuka hadi kwenye ibada licha ya kwamba huenda haendi hija.

Ni heri ajenge misikiti, madrasa, hospitals, shule, asaidie masikini/fukara wacojiweza, achimbe visima vya maji vijijini n.k
 
Kwani PHD sasa ivi imekuwaje wadau ama ni kama lawa lawa itolewavyo kwa watoto kipindi cha sikukuu [emoji848]??
 
Mwanamuziki nguli anayetamba duniani kwa kazi zake na ukwasi mkubwa Naseeb Abdul Juma Issack almaarufu kama Diamond Platnumz anastahili kupewa tuzo ya heshima ya udaktari wa falsafa na vyuo maarufu duniani kwa jinsi ya mchango wake kwa mtu mmoja mmoja, jamii kwa upana wake, taifa/serikali (kupitia kodi anazolipa).

Ukimya wa taasisi za elimu ya juu duniani zikiwemo za ndani ya Tz unatia shaka kubwa kwasababu Bingwa huyu ame-reform wanamuziki wenzake na kutransform maisha ya vijana duniani kwamba alistahili hata nishani ya rais kama siyo tuzo ya Grammy. Uwezo wa Diamond haulingani na wa Khadija Kopa, Cpt. Komba na Mzee Nnauye ambao hawa wamefanywa/walifanywa Makada nguli wa chama tawala.

Matokeo ya kazi za Diamond katika tasnia ya muziki ni makubwa kuliko matokeo ya kazi za Maprofesa ambao hata wao wamestaafu bila hata single wakati ni wataalam wa muziki kwa ngazi ya uweledi wa uzamivu (PhD). Ziko wapi UDSM, OUT, SAUT, TUDARCO nk? Tunasubiri Mungu ampandishe cheo kwenda kwake ndiyo tumpe tuzo ambayo hatoiona kwa macho yake?

Tz tumpaishe Diamond wetu ili ulimwengu wa nje nao ujumuike nasi katika kumpaisha. Tuzo ya Muziki ya Grammy ndiyo inayoongoza dunia tangu karne ya 20 na ukiipata ile utakuwa na ela ya kuweza kufadhili bajeti ya serikali na kazi zako hazitakwama sokoni hata siku moja.

US ilimpaisha Jacko (Michael Jackson) hadi akaongoza dunia kwa kupata tuzo 100 hadi anafariki, katika hizo, ni Grammy Music Award ndiyo ilimpa kitita kilichomfanya billionaire. Sasa hapa kwetu CCM inamtumia Diamond kwa viwango vya chini mno ambavyo siyo hadhi yake. Siasa ni sumu.

Nadhani dunia imtendee Mondi haki anayostahili. Bila wivu kwa Diamond, Konde Boy hasingefanya bidii na kufanya vizuri kama anavyofanya hivyo Mondi amemtengeneza indirectly. Karibuni tujadili.

View attachment 2040703
Taswira kwa hisani ya google.
Wale matajiri wakubwa waliofanya innovation kama akina Elon musk, Billgates na Africa kama akina Dangote na Tz kama akina mo wapewe nini sasa
 
Wale matajiri wakubwa waliofanya innovation kama akina Elon musk, Billgates na Africa kama akina Dangote na Tz kama akina mo wapewe nini sasa
Wajuwaje kama hawana? Ni kwasababu tu hujapata kujuwa.

Dangote alinenewa utajiri na Bishop Idahosa ambaye alikosa ndege wakati amepata amri ya Mungu kwenda kuhudumu Ulaya kwa majira ya dharura. Alienda kwa abiria waliokuwa wakisubiri kupanda ndege na kuwaambia nani yuko tayari kuniachia nafasi yake nisafiri na ndege hii hii yeye abaki atafute nyingine? Wote walikaa kimya na kumuona kama kichaa, ndipo Aliko Dangote akajitolea na kumwambia Meneja wake wamuachie Bishop Idahosa nafasi, wakamwambia Bishop chukuwa nafasi yetu sisi tutasafiri na ndege nyingine.

Bishop Idahosa akasema sijawahi kuona kiwango hiki cha unyenyekevu chini ya jua, akamwambia njoo na Meneja wako, pigeni magoti, akamtamkia Dangote kwamba utatafutwa na kusujudiwa na Marais wa dunia, utastawi na kuwa tajiri Afrika na dunia. Wakati huo Dangote alikuwa hana utajiri huu wa sasa.

Leo hii Dangote kila Ijumaa haswali Afrika, anaswali Mecca kwa private jet. Leo hii Dangote na Bishop Oyedepo ni wakwasi wawili duniani wanaotumia private jets zao kwa miaka miwili tu wana-dispose na kuagiza mpya.

Kilichomuinua Dangote ni #Unyenyekevu ambao wengi hawana wanautafsiri kama ni udhaifu na kushindwa.

Jifunze kuishi kwa kunyenyekea kuliko hata kwa kutoa sadaka.


Taswira zote kwa hisani ya google.

1639395568974.png


1639395139626.png


Mtani wangu Mondi yuko kwenye track hii ya Aliko. Time will tell.
 
Lakini PHD mtu mpaka kufika hapo nguvu ya ziada inatakiwa mkuu ndio nauliza kwani sasa ivi PHD inatolewa tu kama lawa lawa?
Mkuu,
Kuna za heshima na za darasani. Za heshima hata wewe kwa jinsi ya michango yako humu naona unaelekea kuipata huenda ukamfuatia au ukamtangulia Mondi ukiendelea kuweka bidii yako ninayoona humu.
 
Sawa unachokiongea kwa upande wako ila me sijaona sababu ya kumpa hiyo heshima unayosema. Kwan kati ya mond na moo dewij Nan anastahili hizo sifa ulizosisema? Maana naona sifa za mtu mwingine umempa mwingine
 
Apewe PhD 7 kama za msukuma pia sanamu lake lijengwe mikoa yote tz hadi mlima kilimanjaro juu.

Kama hutaki nenda burundi mipaka iko wazi
 
Apewe PhD 7 kama za msukuma pia sanamu lake lijengwe mikoa yote tz hadi mlima kilimanjaro juu.

Kama hutaki nenda burundi mipaka iko wazi
Jacko kwa uweusi wake Wamarekani wangemtosa asijulikane asilani, lakini kwa akili za Mzungu walimpaisha kwa kigezo tu cha kuwa Mmarekani hadi akaongoza dunia kwenye tasnia ya muziki na kulipa kodi kubwa serikalini. Ana tuzo 100 ikiwemo ya Grammy hadi anaaga dunia.

South Africa, Lucky Dube, Miriam Makeba, Brenda Fassie, Hugh Masekela, Nasty C, Yvone Chakachaka, Amanda, Mafikizolo nk wameinuliwa na nchi yao.

DR Congo, Abeti Masikini, African Fiesta, Avelino, Awilo Longomba, Bimi Ombale, Bisso Na Bisso, Bouro Mpela, Bozi Boziana, Cindy Le Coeur, Dadju, Damso, Dany Engobo, Evoloko Jocker, Diblo Dibala, Dindo Yogo, Fabregas, Fally Ipupa, Ferré Gola, Gaz Mawete, Geo Bilongo, Gibson Butukondolo, Grand Kalle, Pepe Kale, Luambo Luanzo Makiadi, Papa Wemba, M'bilia Bel, Koffi Olomide, nk wamepaishwa na taifa lao na kuwatangaza nje ya Afrika. Wenzao waliokuja Tz kama Remmy Ongara, Makasi, Babu Seya wamefifishwa na roho wa kufisha sekta ya muziki Tz.

Uganda kama mataifa mengine haikuwa nyuma kuinua wanamuziki wake kwa viwango vya kimataifa, Bobi Wine, Dr. Jose Chameleon, Bebe Cool, Ragaa Dee, Grace Nakimera, Ronald Mayinja, Mesaech Ssemakula, Geoferey Lutaaya, Eddy Kenzo, Hajji Haruna Mubiru.

Babu Seya ndiye aliyeghani wimbo maarufu wa "Chama chetu cha Mapinduzi chajenga nchi....." mwaka 1977 wakati TANU na ASP vikiungana kuzaa CCM, alipewa masaa 7 kughani wimbo huo kwa dharura lakini nyota ya muziki Tz haing'aagi. Na ndiyo maana mzee Nnauye na Capt. Komba wamekufa masikini kwa kutumbuizia siasa.

Diamond (kama alivyokuwa Capt. Komba na mzee Nnauye) amechangia kuiweka serikali Ikulu kwenye chaguzi za 2015 na 2020 lakini mafanikio yake hayana mkono wa serikali hata kwa senti 5, ni bidii zake mwenyewe.

Huko DR Congo, zaidi ya 50% ya wanamuziki maarufu ni graduates wa fani ya muziki ndiyo maana wanauza sana kwenye soko la Ulaya na Marekani ambako muziki ni taaluma pia licha ya kuwa kipaji.
 
Jamaa anafanya kazi kubwa kaaajiri watu wengi ikiwamo madancer, IT na watu wenye taaluma tofauti imesaidia kupanua fursa ya kupunguza tatizo la ajira nchini lakini pia kampuni yake ya Wasafi inachangia kiasi kubwa kwenye kulipa Serikali kodi
Na Bakhresa tutasemaje??
 
Ushauri kwa Diamond.

Kwakuwa Diamond ndiyo baba wa muziki Afrika kwa ukwasi na ufuasi, nadhani sasa atumie ukuu wake kubadili agenda ya muziki wa Tz toka kuwa mapenzi (mahaba) kwenda kwenye agenda za sayansi, teknolojia, kilimo, ufugaji, uvuvi, utalii, rasilimali za nchi, elimu, michezo, maadili, imani, afya, tabia nchi nk.

Muziki wa Tz umekwama kwenye agenda moja ya mapenzi tuu tangu miaka ya '90s; kiasi kwamba ukiimba nje ya agenda ya mapenzi hujauza kazi zako. Hii inaashiria kwamba taifa lina uhitaji mkubwa kwenye suala la mapenzi kuliko kitu kingine.

Agenda ya mapenzi imeimbwa kwa namna ambayo imechochea machafuko kwenye mahusiano, mporomoko wa maadili na changamoto za afya ya uzazi.

Soma hii excerpt toka kwenye moja ya publications zangu:

In mid 1970s, there occurred grave drought that hit Ethiopia severely and given ideological battle that steered the world then, involving Addis, it became impossible for humanitarian support to easily flow to Ethiopia to rescue living hunger skeletons. After a while, pop idol Jacko [Michael Jackson [deceased]] sacrificed himself for the cause of dying generation of Queen of Sheba [Ethiopians] by composing a special music song dedicated to the state of historic hunger in Ethiopia, trying to awake the mercy of the world to stretch humanitarian hand towards Ethiopians. Jacko composed a soul touching and tearful message that thereafter saw the world breaking ideological margins and everywhere around the world there were fund raising events including diplomatic roundtables to solicit support from countries for Ethiopia.

World media played Jacko’s music to campaign for mercy for children, mothers, elderly, youth and disabled of Ethiopia. Jacko’s self sacrifice eventually made the world to witness millions of metric tons of food support and other essentials flowing to Addis. This is the love that the world has today lost, the love that considers no margin, the love that is contrary to that propagated by the Tanzania music fraternity. Around the world, poverty for love is relatively bigger than poverty for income. This is how the music artistes of Tanzania should reform their thematic compositions for their works. Until his demise, Jacko led the world by winning about 100 awards.

NB.
Mondi kwa kutumia ukuu wako, ni rahisi kubadili muziki wa Tz kuliko wanamuziki wadogowadogo wanavyoweza. Ujumbe huu ukufikie, BASATA, Wizara ya Habari, Vyama vya siasa na makundi maslahi katika jamii pana ya Tanzania.
 
Ushauri kwa Diamond.

Kwakuwa Diamond ndiyo baba wa muziki Afrika kwa ukwasi na ufuasi, nadhani sasa atumie ukuu wake kubadili agenda ya muziki wa Tz toka kuwa mapenzi (mahaba) kwenda kwenye agenda za sayansi, teknolojia, kilimo, ufugaji, uvuvi, utalii, rasilimali za nchi, elimu, michezo, maadili, imani, afya, tabia nchi nk.

Muziki wa Tz umekwama kwenye agenda moja ya mapenzi tuu tangu miaka ya '90s; kiasi kwamba ukiimba nje ya agenda ya mapenzi hujauza kazi zako. Hii inaashiria kwamba taifa lina uhitaji mkubwa kwenye suala la mapenzi kuliko kitu kingine.

Agenda ya mapenzi imeimbwa kwa namna ambayo imechochea machafuko kwenye mahusiano, mporomoko wa maadili na changamoto za afya ya uzazi.

Soma hii excerpt toka kwenye moja ya publications zangu:

In mid 1970s, there occurred grave drought that hit Ethiopia severely and given ideological battle that steered the world then, involving Addis, it became impossible for humanitarian support to easily flow to Ethiopia to rescue living hunger skeletons. After a while, pop idol Jacko [Michael Jackson [deceased]] sacrificed himself for the cause of dying generation of Queen of Sheba [Ethiopians] by composing a special music song dedicated to the state of historic hunger in Ethiopia, trying to awake the mercy of the world to stretch humanitarian hand towards Ethiopians. Jacko composed a soul touching and tearful message that thereafter saw the world breaking ideological margins and everywhere around the world there were fund raising events including diplomatic roundtables to solicit support from countries for Ethiopia.

World media played Jacko’s music to campaign for mercy for children, mothers, elderly, youth and disabled of Ethiopia. Jacko’s self sacrifice eventually made the world to witness millions of metric tons of food support and other essentials flowing to Addis. This is the love that the world has today lost, the love that considers no margin, the love that is contrary to that propagated by the Tanzania music fraternity. Around the world, poverty for love is relatively bigger than poverty for income. This is how the music artistes of Tanzania should reform their thematic compositions for their works. Until his demise, Jacko led the world by winning about 100 awards.

NB.
Mondi kwa kutumia ukuu wako, ni rahisi kubadili muziki wa Tz kuliko wanamuziki wadogowadogo wanavyoweza. Ujumbe huu ukufikie, BASATA, Wizara ya Habari, Vyama vya siasa na makundi maslahi katika jamii pana ya Tanzania.
Umetoa ushauri mzuri Sana.
 
Apewe shahada ya falsafa ya nyimbo za matusi.
  • weka mate nyoka ateleze pangoni.
  • nyege nyege nyegezi.
-- unataka Maji ya kisima unaogopa kuinama.
Na matusi mengine mengi.


Mimi nasema apewe shahada ya falsafa ya heshima.
 
Apewe shahada ya falsafa ya nyimbo za matusi.
  • weka mate nyoka ateleze pangoni.
  • nyege nyege nyegezi.
-- unataka Maji ya kisima unaogopa kuinama.
Na matusi mengine mengi.


Mimi nasema apewe shahada ya falsafa ya heshima.
Jacko (Michael Jackson) aliwahi kusema Waafrika wananuka.

Alipokuja Tz alitaka apokelewe na rais tu na siyo mtu mwingine yeyote.

Huyu ndiye anaongoza dunia kwa tuzo 100 ikiwemo ya Grammy.

Duniani watakatifu ni robo tu, robo tatu ni wenye dhambi wakiwemo watukanaji.
 
Jacko (Michael Jackson) aliwahi kusema Waafrika wananuka.

Alipokuja Tz alitaka apokelewe na rais tu na siyo mtu mwingine yeyote.

Huyu ndiye anaongoza dunia kwa tuzo 100 ikiwemo ya Grammy.

Duniani watakatifu ni robo tu, robo tatu ni wenye dhambi wakiwemo watukanaji.
Wapi kasema ananuka?
Hayo ni maneno tu ya vijiweni.
Pia jifunze kutofautisha Kati ya kudhihaki na kutukana matusi.
 
Wapi kasema ananuka?
Hayo ni maneno tu ya vijiweni.
Pia jifunze kutofautisha Kati ya kudhihaki na kutukana matusi.
Wananuka siyo ananuka! Soma hii:

...They criticized Michael Jackson for not performing. Jackson’s affectation of keeping his hand in front of his face, which I assumed was a symptom of shyness, was seized upon as a sign that he didn’t like the smell of Africa. This issue arose again when Jackson went on to the Cote d’Ivoire next.

...The African press reamed him over the implication that he couldn’t stand the smell of Africa. It was unfair, but the trip proved to be a disaster and he curtailed the rest of his trip. I think he went on to Tanzania, but then he returned to the U.S. He was going to go onto Egypt but the trip just fell apart. That was my brush with real fame as far as I’m concerned.


Source:
 
Back
Top Bottom