wakulichomeka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 517
- 142
Johmakin ndio kafunika kuliko hata huyo Ndomo..na amekula shangwe nyingi sana Joh
#Diamond aangalie sana maana huku kufunikwa kunaendelea
Kiingilio kilikuwa shilingi ngapi leo? Hahahaaa
Ova
Licha ya kupata zomea zomea wakati wa fiesta kijana diamond ameonekana kutojali na kuwa na confidence ya kupanda jukwaani tena bila kuhofia buu buu alizopata wakati wa fiesta na kufanya shoo ya kwa muda wa lisaa limoja na nusu kwenye viwanja vya coco beach
Na muda wake wa kuondoka ulipofika ikabid nguvu ya ziada itumike kuondoa mashabik waliozingira gari lake kwa muda kadhaa wakitaka japo kumuona kijana huyo.
Big up kwake kwa kuonyesha kutovunjika moyo na kupata confidence ya kumiliki jukwaa.
Jamani ally kiba anaendelea kufuta vumbi
ukweli unaanza kuonekana..sauti za kutengeneza studio mwisho wake stejiniAlipaform nusu saa na sio lisa na nusu. Diamond has one big problem, na ni kubwa sana. He has poor vocals, ana perform na playback music sio beat, akiimba sauti yake utakimbia. Joh makini performed next after dangote, jamaa ana flow na beat tu, na alimfunika mbaya
naona dadamond katoa pesa nyingi sana kulipa watu kwenye mitandao ya kijamii ili wampe promo baada kuona anataka kuangukia pua mbona kiba hana hayo mashauzi lakini anatusua tu nyimbo moja tu imewakaba sehemu zote
kijana yuko vizuri na bado sana yupo sio kama wengine wafananao na matunda ya msimu
naona dadamond katoa pesa nyingi sana kulipa watu kwenye mitandao ya kijamii ili wampe promo baada kuona anataka kuangukia pua mbona kiba hana hayo mashauzi lakini anatusua tu nyimbo moja tu imewakaba sehemu zote
Alipaform nusu saa na sio lisa na nusu. Diamond has one big problem, na ni kubwa sana. He has poor vocals, ana perform na playback music sio beat, akiimba sauti yake utakimbia. Joh makini performed next after dangote, jamaa ana flow na beat tu, na alimfunika mbaya
Ndio muziki wa bongo huoo weweee Diamond waumizee kabisaaaaaaaaaaaa mtoto wa watu anaingiza pesa tu alaaaaaaaa
Naona dadamond katoa pesa nyingi sana kulipa watu kwenye mitandao ya kijamii ili wampe promo baada kuona anataka kuangukia pua mbona kiba hana hayo mashauzi lakini anatusua tu nyimbo moja tu imewakaba sehemu zote.
Nyimbo moja??? Kiba katoa nyimbo 2 bwana zote mbovu ila nwana ina afadhali
kijana yuko vizuri na bado sana yupo sio kama wengine wafananao na matunda ya msimu
Licha ya kupata zomea zomea wakati wa fiesta kijana diamond ameonekana kutojali na kuwa na confidence ya kupanda jukwaani tena bila kuhofia buu buu alizopata wakati wa fiesta na kufanya shoo ya kwa muda wa lisaa limoja na nusu kwenye viwanja vya Coco Beach.
Na muda wake wa kuondoka ulipofika ikabidi nguvu ya ziada itumike kuondoa mashabiki waliozingira gari lake kwa muda kadhaa wakitaka japo kumuona kijana huyo.
Big up kwake kwa kuonesha kutovunjika moyo na kupata confidence ya kumiliki jukwaa.
Diamond ametajwa na Channel O kuwa ni msanii aliyebadilisha music wa Africa
Ally kiba naskia alitajwa na radio kifimbo F.M kuwa ni msanii ambaye kiti chake kilichafuka na sasa anakifuta