Diamond Platnumz: Aslay angekuwa chini yangu angefika mbali zaidi

lord atkin

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2018
Posts
205
Reaction score
769
Msanii Diamond Platnumz akiongea katika uzinduzi wa album ya Barnaba classic iitwayo Love Sounds Different, amesema wasanii wengi wanakwama Kwa kukosa usimamizi na uwekezaji wa pesa. Diamond Platnumz amemtolea mfano msanii Aslay na kusema msanii huyo ana kipaji kikubwa sana angekuwa chini yake angefika mbali zaidi ya alipo Sasa.

Source; Wasafi TV
 
ASLAY NAE SIJUI NINI KIMEMPATA?
 
Mond kaongea kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…