lord atkin
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 205
- 769
ASLAY NAE SIJUI NINI KIMEMPATA?Msanii Diamond Platnumz akiongea katika uzinduzi wa album ya Barnaba classic iitwayo Love Sounds Different, amesema wasanii wengi wanakwama Kwa kukosa usimamizi na uwekezaji wa pesa. Diamond Platnumz amemtolea mfano msanii Aslay na kusema msanii huyo ana kipaji kikubwa sana angekuwa chini yake angefika mbali zaidi ya alipo Sasa.
Source; Wasafi TV
Hapana Nasibu ni kijana mpambanaji, ni haki yakeMondi ni mnyonyaji sana naona sasa anataka amnyonye aslay!
Duh..Mondi ni mnyonyaji sana naona sasa anataka amnyonye aslay!
Mond kaongea kweliMsanii Diamond Platnumz akiongea katika uzinduzi wa album ya Barnaba classic iitwayo Love Sounds Different, amesema wasanii wengi wanakwama Kwa kukosa usimamizi na uwekezaji wa pesa. Diamond Platnumz amemtolea mfano msanii Aslay na kusema msanii huyo ana kipaji kikubwa sana angekuwa chini yake angefika mbali zaidi ya alipo Sasa.
Source; Wasafi TV
Kabisa, Nasib nachompendea ni anajua soko la muziki na ni Professor ktk hilo eneo.Mond kaongea kweli
Haya ni matusi ya ngumi.Mondi ni mnyonyaji sana naona sasa anataka amnyonye Aslay!
Lava Lava awezi kufika mbali kwasababu awezi kuacha mizani na ala za qaswida ndani ya bongo fleva.Lava lava[emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]
Sasa huyo Aslay pamoja na kutoa hits nyingi chini ya Meneja Maneno alipata kitu gani?Mondi ni mnyonyaji sana naona sasa anataka amnyonye Aslay!
Kama vanny boy anavyofanyiwa na WCBSasa huyo Aslay pamoja na kutoa hits nyingi chini ya Meneja Maneno alipata kitu gani?
Sasa kaenda kusaniwa Rocstar huko ndio , hawana msihala, Barakha da Prince kanyang'anywa mpaka account yake ya Youtube.