Cannabis JF-Expert Member Joined Jan 20, 2014 Posts 11,557 Reaction score 33,535 Mar 17, 2022 #1 Mtandao wa Top Charts wa nchini Nigeria umemtaja msanii Diamond Platnumz kuwa mtu maarufu aliyeongelewa zaidi katika wiki hii. Msanii huyo anakuwa wa kwanza kutoka Tanzania kuchukua nafasi hiyo.
Mtandao wa Top Charts wa nchini Nigeria umemtaja msanii Diamond Platnumz kuwa mtu maarufu aliyeongelewa zaidi katika wiki hii. Msanii huyo anakuwa wa kwanza kutoka Tanzania kuchukua nafasi hiyo.
Perfectz JF-Expert Member Joined May 17, 2017 Posts 9,045 Reaction score 28,216 Mar 17, 2022 #2 #FOA Najua mnajua na tunajua mnajua.
Scars JF-Expert Member Joined Apr 8, 2017 Posts 48,055 Reaction score 116,512 Mar 17, 2022 #3 Yap ni sahihi, si naskia juzi ametoa ep iliyo trend...lazima aongelewe
baraka bb JF-Expert Member Joined Mar 20, 2016 Posts 2,691 Reaction score 3,884 Mar 17, 2022 #4 Alli kiba yeye anashika namba 1 europe na Asia ila apendi show off
fundi bishoo JF-Expert Member Joined Jun 26, 2018 Posts 14,264 Reaction score 27,132 Mar 17, 2022 #5 Mwijaku anasema hii tovuti ni ya mchongo tuu
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Mar 17, 2022 #6 Kama kweli vile