Ata mimi naonaAnamuolea mama yake sio
Atawowa?Wowa tu Simba!...
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mwanamuziki Diamond Platnumz leo hii ameweka picha ya mama yake mzazi na kumsifu kwa maneno matamu katka kuadhimisha siku ya wanawake duniani.
Katika maandishi hayo Diamond ametangaza kiaina kwamba kama Mungu akijaalia (Inshallah) ataoa ndani ya mwaka huu ili kumfurahisha mama yake..
NdioLabda anamuoa wema sepetu
Inabidi aoe mwanamke wa pwani mvaa dera la sivyo...Atakayeolewa naye ajipange kwakweli.......jaka La moyo linamhusu.