Diamond platnumz atawala chart za Kenya na Tanzania Boomplay kwa wanamuziki wa TZ.

Diamond platnumz atawala chart za Kenya na Tanzania Boomplay kwa wanamuziki wa TZ.

joseph1989

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2014
Posts
17,420
Reaction score
35,765
Rf
79038099_461323128147819_4176460605286431496_n.jpg

76886180_2513116518964171_5746342547474091195_n.jpg

77139383_540980120092495_7087273683755318339_n.jpg
78721694_2234606556833921_1833111662966959819_n.jpg
70919145_172050144187919_8855660749281146949_n.jpg
 
Hata nikikwambia nina miliki nini au nina level ipi ya elimu au nina mpango gani wa maisha HAITOKUSAIDIA wala HAYA KUHUSU.

Ila nipo vizuri sana kiuchumi mpaka kielimu,pili nimejiunga JF mwenyewe hamna mtu wa kunipangia cha kupost so kama nakukera fanya kama huzioni post zangu kwani nitaendelea kupost kile nikitakacho.
Km ulizaliwa mwaka 1989 kwa sasa una miaka 30.... ni vyema ukaanza kufikiri / kuwaza mambo ya maana kwa faida ya maisha yako baadae.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata nikikwambia nina miliki nini au nina level ipi ya elimu au nina mpango gani wa maisha HAITOKUSAIDIA wala HAYA KUHUSU.

Ila nipo vizuri sana kiuchumi mpaka kielimu,pili nimejiunga JF mwenyewe hamna mtu wa kunipangia cha kupost so kama nakukera fanya kama huzioni post zangu kwani nitaendelea kupost kile nikitakacho.
Kakununulia bando naona[emoji16]
 
Mondi anatisha ile mbaya na atazidi kuwaburuza wasanii wengine Sana.
 
Umeona top 3 jeshi hakosi yupo yupo kote eti bado mnamlinganisha na nyegezi na vumbi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbona king hayupo kwenye list zote? na wakati kuna kipindi alitumia nguvu kubwa sana huko kenya mpaka kudai kazimishiwa mic. ina maana hawajamuona? au ngoma zake ni mbaya? du! mond sio poa hvyo mwenzio atajinyonga. why always you?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbona king hayupo kwenye list zote? na wakati kuna kipindi alitumia nguvu kubwa sana huko kenya mpaka kudai kazimishiwa mic. ina maana hawajamuona? au ngoma zake ni mbaya? du! mond sio poa hvyo mwenzio atajinyonga. why always you?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiba kaingia Top 10 billboard sema hapendi show off [emoji12]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom