Ntolonyonyo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,231
- 2,357
Labda Pua lako limezidi lens Indio Maana hukumuona!!
pole sana sana.. atapata mwingineHuu msiba umeniuma mno jamani dah.
R I. P Ivan [emoji24]
Mwarabu fighter atosha..hakikishe anakwenda na ulinzi wa kutosha wasije kumchangia wakampiga bure
hakikishe anakwenda na ulinzi wa kutosha wasije kumchangia wakampiga bure
Kwakweli Diamond ni mtu ambaye sisi wanaume inabidi tuige yale mazuri ambayo kwa namna moja au yanapaswa kuiga,hongera sana kwa Diamond na washauri wake.
ndo ujue pesa sio kila kitu mbwigila weweMalaya tu alikosa nn kwa ivan?