Tuacheni masikhara na chuki, huyu dogo ana pesa bhana [emoji119]Kwa sisi car enthusiasts tunasema mjinga ana mawe. Hongera zake
Hii kama yako vileππ
Jibu zuri kwenye swali zuri safiiπHalafu na wew ndo msomaji na mchangiaji wa hiyo mijadala
Yeah but for his career it mbuoost sanaIla iyo izo haiwezi irithisha kwa vizazi vyako..wenzetu ulaya unakuta hawafanyi kazi wengine wanakula dividend za shares zilizowekezwaga na mababu zao.
Mwambie boss wako akuongezee bajeti ununue simu ya gharama kidogo mkuu maana unawakilisha brand kubwa ya wasfi
πππππWadau wanadai mbna tairi yake ya mbele imeisha ,Wana Wana was was nayo huenda imechongwa Mombasa π
Kiba anayo toka kitamboo.. hapendi show off tuWadau wanadai mbna tairi yake ya mbele imeisha ,Wana Wana was was nayo huenda imechongwa Mombasa π
Siukaushe! yanin kukoment kama hayakuhusuDuh, sasa gari la diamond linatuhusu nini mkuu? Wewe ni ke au me? Kama ni me pole kwa wazazi wako
Soon anajenga inaitwa Diamond platinumz school (nursery, primary, O-Level na advance)ajenge shule ya mchiriku
Acha hizo unajua na simu ngapi na je , simu ndio Ina potray how wealth person is , very stupidityMwambie boss wako akuongezee bajeti ununue simu ya gharama kidogo mkuu maana unawakilisha brand kubwa ya wasfi
Usiniseme mm kwasababu namwakilisha HAMORAPA ananilipa kidogo nimetoka kwenye ITEL Sasa npo kwenye TECNO
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hao ni haters achana nao bhanaWadau wanadai mbna tairi yake ya mbele imeisha ,Wana Wana was was nayo huenda imechongwa Mombasa [emoji2]