Diamond Platnumz atua na Rolls Royce 2021

Na kapicha uka post...
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]imenibidi tu nicheke
Wewe jamaa upo kama rafiki yangu mmja hivi
Yan dah mnashida sana!
Sasa mkuu usile kuku kwakua jiran yako anamboga majani?
Mkuu ikiwa unahangaika mwenyewe basi tumia mwenyewe
Msaidie mwingine ikiwa unamoyo wakufanya hivyo ingawa usipofanya hivyo pia hakuna wakukuuliza
 
Sifa za kijinga kutumia hela yake...πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
mama D Naona Kwny vid zako ya kwnz kama vile usukan unabadilika mara kulia mara kushoto au naona vibaya??

Nb:sina utaalam na magar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…