University_Promo
JF-Expert Member
- Sep 29, 2018
- 749
- 661
Hizo cheni wakati ananunua ulimuona live au aliweka instagram?
tehteh Algebra,,,,,Nakumbuka shuleni hesabu zilikuwa easy tu, mpaka pale walipoanza kuleta upuuzi wa x na y.
kuna video niliona yupo dukani anamcash muuzaji dolariHizo cheni wakati ananunua ulimuona live au aliweka instagram?
Basi atakuwa amenunua kwenye VIDEO tu.kuna video niliona yupo dukani anamcash muuzaji dolari
Yaani huyu kijana akili zake anazijua mwenyewe,anatumia 48M kununua cheni wakati anakaa nyumba ya kupanga?,madale kamuacha mama yake na kibenten wake
Kama kaweza kumnunulia tanasha gar ya mil150 na mama yake same shit simultaneously,anashindwaje kutoa hzo 48milAcheni kudanganyana diamond hawezi kununua cheni ya million 48 period
..kuna vitu vingine ni maamuzi tu usimfosi mtu afanye kitu unachopenda weww kama kaamua kupanga tu wewe unayempangia jinsi ya kutumia pesa zake ni nani labda!..unataka useme Mondi hawezi kujenga nyumba akaishi? huwezi jua labda kapenda kupanga tu kwa muda huu lakini wewe unamuhukumu tuYaani huyu kijana akili zake anazijua mwenyewe,anatumia 48M kununua cheni wakati anakaa nyumba ya kupanga?,madale kamuacha mama yake na kibenten wake
Mil 48,hapa ningekuwa napigia hesabu ya Toyota Landcruiser Prado third generation TX,halafu kifuani ningeweka cheni ya 10,000 gold ya mchina ,nimefungua sunroof na mtu asingejua tofauti ya cheni yangu na yake....
πππUkiona unashangaa mtu kutumia pesa zake anazotafuta mwenyewe,ujue wewe ni maskini wa kutupwa.